• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Lukundo sekondari yaondoa msongamano madarasani

Imewekwa tarehe: July 15th, 2022

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

SHULE ya sekondari Lukundo imekamilisha ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa ambavyo vinatumiwa na wanafunzi kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma na kuondoa msongamano wa wanafunzi madarasani.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Asafu Makonda alipokuwa akisoma taarifa ya shule hiyo kwa Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma ilipotembelea na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule hiyo.

Mwalimu Makonda alisema kuwa madarasa hayo yamejengwa kwa mapato ya ndani ya halmashauri. “Katika mwaka wa fedha 2021/2022 tulipokea shilingi 40,000,000 kwa ajili ya kujenga vyumba viwili vya madarasa tarehe 13.10.2021. tumefanikiwa kujenga vyumba viwili ambavyo vimekamilika na vinatumika. Juhudi za ziada za kubana matumizi zilitumika ili fedha hiyo iweze kukamilisha mradi. Aidha, ujenzi huo ulikamilika baada ya kuunganisha vyumba hivi viwili na chumba kilichokuwepo hivyo, kupunguza gharama ya ujenzi wa ukuta wa chumba kimoja” alisema Mwalimu Makonda.

Akiongelea miundombinu ya madarasa katika shule hiyo, alisema kuwa shule ina vyumba vya madarasa 31 sawa na mahitaji ya shule kwa sasa. “Kutokana na kukosekana kwa maktaba, tumeamua kutumia chumba kimoja cha darasa kama maktaba kwa ajili ya walimu na wanafunzi kupata huduma ya maktaba. Samani zilizopo ni meza 1,072 mahitaji 1,316 upungufu 244. Viti vilivyopo 1,079 hamitaji ni 1,316 upungufu ni 307. Mwaka 2020/2021 tunashukuru tulijengewa jengo la utawala, ila halina samani kwa ajili ya walimu. Tunaomba msaada wa meza na viti ili jengo liwe na tija iliyokusudiwa” alisema Mwalimu Makonda.

Ikumbukwe kuwa shule ya sekondari Lukundo ipo katika Kata ya Chang’ombe ikiwa na wanafunzi 1,316 na walimu 45.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.