• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Lukuvi aipa kamati miezi mitatu kutatua mgogoro wa ardhi Mji Mwema Dodoma

Imewekwa tarehe: July 13th, 2020

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mheshimiwa William Lukuvi amewaomba wakazi wa Mtaa wa Mji Mwema, Kata ya Chang’ombe jijini Dodoma kumpatia muda wa miezi mitatu ili atatue mgogoro wa Ardhi uliodumu kwa takribani miaka 40.

Waziri Lukuvi aliyasema hayo leo kwenye mkutano uliofanyika katika Mtaa wa Mji Mwema uliokua na lengo la kumuomba Waziri huyo kusaidia kutatua mgogoro huo ambao umedumu kwa muda mrefu.

Akijibu hoja hiyo, Waziri Lukuvi aliwataka wananchi kuwa watulivu na wavumilivu kwa kipindi ambacho kamati iliyoundwa itakua ikifanya kazi ya kuhakiki na kumpitia mwananchi mmoja mmoja ili kufanya tathmini na kubaini idadi kamili ya wananchi wenye viwanja katika eneo lenye mgogoro na kuwahakikishia kuwa kila mwananchi atapata haki yake.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge alimshukuru Waziri Lukuvi kwa kukubali kuitikia wito huo, na amekua mstari wa mbele katika kutatua migogoro inayojitokeza mkoani hapo.

Dkt. Mahenge alisema kuwa Mkoa kwa kushirikiana na Wizara, pamoja na Ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, TAKUKURU na Vyombo vya Usalama waliunda kamati ya kushughulikia mgogoro huo, na ilikuja na majibu ambayo wananchi wengi hawakuridhika nayo. Hali hiyo ilipelekea kumuomba Waziri husika aje kusikiliza kero hiyo na kuitatua.

Aidha, akifungua mkutano huo, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi alisema kuwa iliyokua Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) ilitenga eneo hilo lenye Hekta 10 kama sehemu ya makaburi ambapo kwa muda mrefu hakuna shughuli yoyote ya maziko iliyowahi kufanyika katika eneo hilo, jambo ambalo lilipekea zaidi ya wananchi 1,100 kuvamia eneo hilo, na Serikali kuamua kurasimisha sehemu hiyo kuwa makazi ya wananchi mwaka 2014.

Kunambi aliongeza kuwa kiliundwa kikosi kazi ili kuhakiki eneo hilo na taarifa ilibaini zaidi ya wananchi 1,100 kuwepo katika eneo hilo jambo lililoleta mgogoro huo, hivyo kumuomba Waziri Lukuvi kuwasaidia kutatua tatizo hili ili kila mwananchi apatiwe haki yake.

Kwa upande wa wakazi wa eneo hilo wameonesha kuridhishwa na uamuzi wa Waziri Lukuvi na kuwa wako tayari kusubiri kwa hiyo miezi mitatu ili waweze kupatiwa haki yao.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.