• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Maadhimisho ya Siku ya Kichaa cha Mbwa duniani

Imewekwa tarehe: October 2nd, 2024

Na. Asteria Frank, DODOMA

Wizara ya mifugo kushirikiana Halmashauri ya jiji la Dodoma wameadhimisha siku ya kichaa cha mbwa duniani kwa lengo la kuelimisha juu ya udhibiti wa ugonjwa wa kichaa cha mbwa Pamoja na kutowa chanjo kwa paka na Mbwa

Maadhimisho hayo yamefanyika katika ofisi za kituo za huduma za mifugo kanda ya kati Dodoma mjini ambapo wamefahamisha kuhusu kichaa cha Mbwa Pamoja na kutoa chanjo, dawa ya kuzuia viroboto na dawa za Minyoo kwa Mbwa na Paka.

Afisa Mifugo wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Hussein Nyenye alisema kuwa ni muhimu kwa wafugaji wa mw ana paka kushirikiana na wizara ya mifugo ili kuweza kuwapatia mbwa na paka chanjo kwa wakati sahihi kuzuiya magojwa ,mbalimbali kwa Wanyama hao na wao wenyewe.

Alisema kuwa shughuli ya kudhibiti kichaa cha mbwa haiwezakani kufanyika na watu wa mifugo peke yake bali kwa ushiriki wa Sekta zingine kama Sekta ya Maendeleo ya Jamii, Sekta ya Afya na Sekta ya Elimu na ndio maana maafisa wanatowa elimu hii hata mashuleni kwa Watoto wetu na jamii kiujumla ili waweze kujikinga na ugonjwa wa kichaa cha mbwa.

“lakini wakati huohuo tunatowa elimu kwa wafugaji juu ya ufugaji bora wa mbwa, mbwa kwa kawaida anatakiwa afugwe ndani na apewe tiba ikiwa ni Pamoja na chanjo ya kichaa cha mwa, dawa za minyoo na dawa za kuzuiya wadudu kama viroboto ,kupe na kadhalika ambao wanaleta usumbufu wa wanyama na sio mbwa kudhurura mitaani” alisema Nyenye.

Kaimu Afisa Mfawidhi kituo cha huduma za mifugo kanda ya kati Dkt Dioniz Ibrahim alisema kuwa maadhimisho ya kichaa cha mbwa yanafanyika tarehe 28 septemba duniani Pamoja na kuongeza uwelewa juu ya udhibiti wa ugojwa wa kichaa cha mbwa.

Dkt Dioniz Ibrahim ambae pia ni daktari wa Wanyama wa mifugo kanda ya kati ambacho maarufu kinaafaamika kama ZVC ‘Zonal Venterinary Center’ Dodoma alisema kuwa hiki ni kituo ambacho kipo chini ya wizara ya mifugo na uvuvi ambacho kinaudumia mikoa miwili ambayo ni mkoa wa Dodoma na mkoa wa Singida ambayo majukumu yake makuu ni udhibiti wa magonjwa ya wanayama ikiwemo kichaa cha mbwa.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.