• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Maadhimisho ya Siku ya Makazi Duniani, Nyumba kwa wote...

Imewekwa tarehe: October 5th, 2020

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, yaagiza Mikoa yote Nchini Pamoja na Mamlaka ya upangaji wa Makazi, kusimamia kikamilifu zoezi la utambuzi, upangaji, upimaji na umilikishaji wa makazi kwa kufuata sheria, kanuni, taratibu na miongozo iliyotolewa ili kila mwananchi mwenye kiwanja na nyumba sehemu zinazokubalika kisheria aweze kukamilishiwa umiliki wake.
Maagizo hayo yametolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge aliyemuwakilisha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi katika Maadhimisho ya siku ya Makazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Mkoani hapa.
Dkt. Mahenge alisema, ili kuweka mazingira ya nyumba kuwa bora na ya kuvutia ni wajibu wa kila mwananchi kuzingatia kanuni ya kuchangia sehemu ya ardhi yake kwa ajili ya huduma za kijamii katika maeneo yao.
Aidha alizitaka Halmashauri zote nchini kuwapatia waendelezaji milki huduma watakazohitaji kama vile kuainisha maeneo yaliyoiva kimipangomiji, kupima viwanja na kuweka miundombinu ya barabara, maji na umeme ili kurahisisha shughuli mbalimbali za kimaendeleo katika maeneo hayo.
“Halmashauri zinapaswa kutoa hati milki za ardhi na vibali vya ujenzi kwa wakati bila kusahau jukumu lao la msingi la kusimamaia na kukagua utekelezaji wa miradi ya mbali mbali ya  ujenzi” Alisema Dkt. Mahenge.
Siku ya Makazi Duniani huazimishwa kila Jumatatu ya kwanza ya mwezi wa kumi, ambapo kitaifa maadhimisho hayo yamefanyika Mkoani Dodoma yakiwa na kauli mbiu inayosema “Nyumba kwa wote: kwa Miji bora ya baadae”


Washiriki wa Maadhimisho ya Siku ya Makazi Duniani yaliyofanyika kitaifa hapa Jijini Dodoma wakimsikiliza mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge (hayupo pichani) aliyemwakilisha Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.