• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Maafisa Elimu nchini watakiwa kusimamia ujenzi wa miundombinu ya elimu msingi na sekondari

Imewekwa tarehe: April 21st, 2024

KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI Adolf Ndunguru amewataka maafisa elimu nchini kote kuhakikisha wanasimamia ipasavyo ujenzi wa miundombinu ya Elimu msingi na sekondari ili kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi.

Ndunguru ameyasema hayo wakati wa kufunga Mkutano wa kumi wa Maafisa elimu wa Mikoa na Halmashauri uliofanyika katika ukumbi wa Eden jijini Mbeya kwa siku tano ukijumuisha maafisa elimu kutoka mikoa ishirini na sita ya Tanzania bara.

“Nitumie jukwaa hili kusisitiza wito wa serikali kuhakikisha mnasimamia vizuri ujenzi wa miundombinu ya shule za msingi na sekondari, hakikisheni kila Halmashauri inakamilisha ujenzi wa miundombinu inayotakiwa’ Ndunguru

Aidha amewataka maafisa elimu hao kuhakikisha waondoa migogoro baina yao ili sekta ya elimu iweze kusonga mbele kwani ni sekta muhimu katika kuleta maendeleo ya Taifa.

Akihitimisha Mkutano huo ametoa salamu za pole kwa wana Mbeya wote na kutumia nafasi hiyo kufikisha salamu za pole kwa watanzania wote kutokana na madhara yaliyojitokeza ya mafuriko katika baadhi ya meneo nchini Tanzania.

Naye Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Dkt. Charles Msonde akimkaribisha mgeni rasmi amesema kupitia mkutano huo Ofisi ya Rais TAMISEMI imejiwekea malengo ya kuweza kuboresha utendaji kazi kwa kipindi cha miezi mitatu ijayo na pia kujadili kwa kina kuhusu namna ya kuboresha elimu nchini.

Ameeleza kuwa mkutano huo uliofanyika kwa siku tano ni fursa ya kufanya tathmini katika maeneo yote ya kujua kusoma, kuandika na kuhesabu kwa wanafunzi wa darasa la kwanza na pili.

Naye Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia elimu maalum, elimu ya watu wazima na elimu nje ya mfumo rasmi Bwana Ernest Hinju amesema kikao hicho cha kumi cha Maafisa Elimu Mikoa na Halmashauri kimeibua maazimio 13 ili kuweza kufanya ufuatiliaji wa karibu katika kuhakikisha maendeleo ya elimu nchini yanakwenda kwa kasi.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.