• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Maambukizi ya ugonjwa wa Ini "B" yafikia asilimia 3.5 kitaifa

Imewekwa tarehe: July 27th, 2025

Na: Hellen M. Minja

Habari - DODOMA RS

Maambukizi ya Ugonjwa wa Homa ya Ini aina ‘B’ yafikia kiwango cha 3.5% kulingana na utafiti wa Kitaifa uliofanywa mwaka 2022. Hayo yamebainishwa na Meneja Mapango wa Taifa wa kudhibiti Ukimwi, Magonjwa ya ngono na Homa ya Ini (NASHCoP) Dr. Prosper Faustine Njau wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jijini humu.

Mkutano huo umefanyika ukilenga kuutangazia Umma juu ya Maadhimisho ya siku ya Homa ya Ini Duniani ambayo hufanyika Julai 28 ya kila mwaka, na mwaka huu Kitaifa yanatarajiwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Morena Jijini Dodoma yakihudhuriwa na Mgeni rasmi Waziri mwenye dhamana ya Afya Mhe. Jenista Mhagama (MB).

“Kulingana na utafiti wa Kitaifa uliofanywa mwaka 2022, ushamiri wa maambukizi ya Homa ya Ini ni ya aina ‘B’ ni 3.5% kwa watu wenye umri kuanzia miaka 15 mpaka 60. Tunaweza kuona ni tatizo kubwa kwa sababu kama ilivyo maambukizi ya Ukimwi Kitaifa ni 4.5% tunaweza kuona hapa Homa ya Ini inakaribia hapo”. Dr. Njau.

Aidha, ameongeza kuwa, Kitaifa wanalenga homa ya Ini aina mbili ambazo ni ‘B’ na ‘C’ambapo homa ya Ini aina C’ ushamiri wake ni 0.2% Kitaifa hali inayoonesha kuwa maambukizi yake ni madogo ingawa ni hatari na aina hii imekua ikiwaathiri zaidi wale wanaotumia Dawa za kulevya.

Akizungumza kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Dr. Nelson Bukuru amesema maadhimisho hayo kwa Mkoa yataanza Julai 26 hadi siku ya kilele Julai 28 ambapo shughuli mbalimbali za utoaji wa Huduma za upimaji afya zitafanyika katika viwanja vya zamani vya Mashujaa vilivyopo Jamatini Jijini humu.

Hata hivyo, ametaja huduma za afya zitakazotolewa katika kipindi hicho kuwa ni utoaji wa elimu ya kujikinga na ugonjwa wa Homa ya Ini, chanjo, upimaji na matibabu kwa wale watakaogundulika na tatizo hilo sambamba na kupatiwa rufaa itakapobidi ambapo huduma zote hizo zitatolewa bila gharama yoyote.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • ACTIF 2025 Itoe majibu ya changamoto za kibiashara na uwekezaji- Majaliwa

    July 30, 2025
  • Serikali yaongeza mashine mpya tatu za Tiba mionzi

    July 29, 2025
  • Mfumo wa Ufundishaji mubashara mbioni kutumika nchi nzima

    July 28, 2025
  • Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati aikabidhi Taasisi ya Benjamin Mkapa hundi ya shilingi mil. 200

    July 28, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.