• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

"Machinga" wa Jiji la Dodoma wapatiwa vitambulisho vya Magufuli

Imewekwa tarehe: January 14th, 2019

Vitambulisho vilivyotolewa na Rais Dkt. John Magufuli kwa wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama 'wamachinga' vimetolewa kwa wafanyabiashara hao jijini Dodoma.

Akizindua ugawaji wa vitambulisho hivyo, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi ametoa vitambulisho 500 kwa wafanyabiashara ambapo amewataka kufanya kazi kwa bidii ili kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli za kuiletea maendeleo Tanzania.

"Serikali inatambua wapo watu wengi waliojiajiri na kwa kuzingatia hilo Mhe. Rais Magufuli akaona sasa ni vizuri aandae utaratibu rasmi wa kuwatambua wafanyabiashara wote wadogo, hivyo tufanyeni kazi ili tusimuangushe Rais wetu mpendwa" alimeeleza Katambi.

Mkuu wa Wilaya Patrobas Katambi akitoa kitambulisho kwa mmoja wa wafanyabiashara wadogo wa Jiji la Dodoma katikati ni mwakilishi wa Mkurugenzi wa Jiji Gratian Mwesiga.


"Kwa hiyo kwa Jiji letu la Dodoma ni marufuku baada ya muda tuliojipangia kufanya biashara katika jiji letu bila kuwa na kitaambulisho hiki ambacho Mhe. Rais Magufuli kakitoa kwa upendo mkubwa" amesema DC Katambi.

Akiongea katika uzinduzi huo, mwakilishi wa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Graian Mwesiga amewataka wafanyabiashara hao kutumia fursa hii adhimu kukuza mitaji yao na kuleta tija katika biashara zao. Vitambulisho hivi vitumike kuleta chachu ya maendeleo kwa kufanya shughuli zao kwa kufuata sheria na taratibu za nchi. Aidha amesema Halmashauri ya Jiji itaendelea kutoa ushirikiano kwa wafanyabiashara hao kwa mustakabali wa maendeleo ya Jiji la Dodoma.

Wafanyabiashara hao wamemshukuru Rais Magufuli kwa upendo aliouonesha kwa kuwathamini na kuwapa kipaumbele huku wakimsifu DC Katambi na Mkurugenzi wa Jiji kwa utaratibu bora walioupanga katika kuhakikisha kila machinga anapata kitambulisho.

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Patrobas Katambi (mwenye suti nyeusi waliokaa) akiwa na mwakilishi wa Katibu Tawala wa Wilaya (aliyekaa kulia), Afisa Tarafa wa Dodoma Mjini Neema Nyelege wa pili kushoto walikaa na Mweka Hazina wa Jiji Alfred Mlowe (wa kwanza kushoto waliokaa) kwa pamoja wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyabiashara ndogo ndogo waliopewa vitambulisho vilivyotolewa na Mhe. Rais Magufuli.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.