• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Madini ni sayansi, Wachimbaji itumieni GST - Mhe. Biteko

Imewekwa tarehe: March 11th, 2021

WAZIRI wa MadiniDoto Biteko, amewataka wachimbaji wadogo wa madini nchini kuitumia Taasisi yaJiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kwa kutumia wataalam, vifaana taarifa za jiolojia zinazoandaliwa na GST katika kufanya shughuliza utafutaji, uchimbaji na uchenjuaji madini ili kufanya uchimbaji wenye tijakiuchumi na wenye kulinda mazingira.

Waziri Biteko amesemahayo leo Machi 11,2021 wakati akifanya uzinduzi wa kitabu cha Mwongozo naMafunzo kwa Viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji wadogo wa madiniTanzania (FEMATA), mwongozo huo unaoelezea namna bora ya uchukuaji wa sampuliza uchunguzi wa kimaabara pamoja na namna bora ya kufanya uchenjuaji madini.

Aidha, Waziriameeleza kuwa, kwa kipindi kirefu GST imekuwa ikifanya kazi zake za kitaalamuna wachimbaji wadogo kwa kuwapa elimu ya kitaalam kwa kutumia machapishombalimbali kama vile Vipeperushi, vitabu pamoja na kuwatembelea  katikamaeneo ya uchimbaji kwa lengo la kuwaelimisha wachimbaji wadogo juu yautafutaji na uchimbaji bora wa madini,  kwa kufanya hivyo GST kupitiatafiti za awali imekuwa kichocheo kikubwa cha ukuaji wa Sekta Madini nchini kwakuzingatia mchango wake mkubwa katika pato la taifa ambao umefikia asilimia5.2 kwa mwaka wa fedha wa 2019/2020.

 “Ndugu zanguwachimbaji, Madini ni sayansi hivyo ni vyema kutumia mafunzo haya ili kujifunzanamna bora ya kutafuta, kuchimba na kuchenjua madini kwa kufuata maelekezo yakisayansi kwa kufanya hivyo mtatatua changamoto ya kuchukua sampuli na kufanyauchimbaji wa madini ulio na tija kiuchumi na kuleta maendeleo zaidi katikasekta hii kwa sababu mchimbaji atachimba bila kupoteza muda au mtaji” Bitekoalisisitiza.

Kwa upande wake,Mtendaji Mkuu wa GST Dkt. Mussa Budeba, alisema kuwa GST ilibaini uwepo wachangamoto ya uchukuaji sampuli za miamba zisizo zingatia taratibu zaubora kwa ajili ya uchunguzi wa maabara, kwa kutambua hilo GST imeamua kuandaakitabu cha Mwongozo na Mafunzo ya siku mbili kwa Viongozi wa FEMATA juu yanamna bora ya uchukuaji sampuli za uchunguzi na uchenjuaji madini.

Akielezea kuhusumwongozo huo, Dkt. Budeba alifafanua kuwa uchukuaji wa sampuli ndio nguzo kuuya uchimbaji wa uhakika kwa kupitia mwongozo huu utawawezesha wachimbaji wadogowengi kuwa na uwezo wa kutambua Mbale zenye uzalishaji mdogo, wa kati na wakiwango cha juu hii itawawezesha kufanya kazi kwa kujiamini, kuongezauzalishaji na kuokoa muda.

Uzinduzi wa Mwongozona Mafunzo kwa Viongozi wa FEMATA yameudhuriwa na viongozi mbalimbali kutokaWizara ya Madini akiwemo Naibu Waziri wa Madini Prof. Shukrani Manya, KatibuMkuu wa Wizara ya Madini Prof. Simon Msanjila, GST, Tume ya Madini pamoja naViongozi na Wachimbaji wa FEMATA kutoka mikoa mbalimbali nchini.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.