• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

RC. Senyamule atoa wito kwa wadau wa ushirika kushiriki uchaguzi mkuu

Imewekwa tarehe: September 22nd, 2025

Na:Sofia Remmi.

Habari:DodomaRs

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ametoa wito kwa wananchi wote waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura ili kutimiza haki yao ya kikatiba.

Akizungumza wakati akifungua kikao kazi chake na Wadau wa Ushirika Mhe. Senyamule alisema  uzoefu unaonyesha kuwa  wananchi wengi wanajiandikisha lakini hawajitokezi kupiga kura.

Amesema kwa mwaka 2020 Mkoa wa Dodoma ulikuwa na takwimu mbaya ambapo katika zoezi la uandikishaji ulifanya vizuri kwani asilimia 94 walijiandikisha na kupewa vitambulisho vya kupigia kura,lakini ni asilimia 45 tu ndio waliojitokeza kupiga kura.

“Hadi hivi sasa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) imeshafanya kazi yake vizuri, sasa kazi kubwa imebaki kwetu kuhakikisha tunahamasisha makundi yote yaliyojiandikisha kujitokeza kwa wingi kupiga kura ili kutimiza haki yao ya kikatiba. Kazi iliyopo na tunayoendelea nayo ni kufanya asilimia 100 ya waliojiandikisha kujitokeza kupiga kura''amesema Mhe. Senyamule.

Katika hatua nyingine Mhe. Senyamule alisema Rais Dk.Samia amefanya kazi kubwa kuhakikisha Ushirika unaendelea kustawi na kunufaisha wakulima wengi,ambapo alitoa fedha kwa ajili kuhakikisha Benki ya Ushirika inaanzishwa” Aliongeza Mhe. Senyamule.

Kwa upande wake Mkulima kutoka wilaya ya Bahi Maxmiliani alisema Serikali ya Awamu ya Sita, chini ya uongozi wa Rais Dk.Samia imetoa sh.bilioni 10 kwa ajili ya ujenzi wa skimu ya umwagiliaji.

Akizungumza kuhusu uchaguzi Mkuu 2025, alisema wapo tayari kushiriki kwani ni haki ya kikatiba,vilevile kwa ajili ya maendeleo ya sekta ya kilimo na Taifa kwa ujumla.



Matangazo

  • REQUEST FOR EXPRESSION OF INTEREST (EoI) (SELECTION OF AN INDIVIDUAL CONSULTANT September 19, 2025
  • TERMS OF REFERENCE FOR RECRUITMENT OF URBAN TRANSPORT PLANNING SPECIALIST FOR THE CITY COUNCIL OF DODOMA (CCD) September 19, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • RC. Senyamule atoa wito kwa wadau wa ushirika kushiriki uchaguzi mkuu

    September 22, 2025
  • Wakurugenzi watakiwa kutenga maeneo yatakayowawezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika kilimo

    September 21, 2025
  • Wakurugenzi watakiwa kutenga maeneo yatakayowawezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika kilimo

    September 21, 2025
  • Halmashauri za Dodoma zatakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato

    September 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.