• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Madini yaakisi taswira ya wananchi wa Dodoma

Imewekwa tarehe: January 10th, 2024

HAMASA imetolewa kwa wachimbaji wadogo wa Madini wa Mkoa wa Dodoma kuifanya sekta hiyo kuakisi uchumi wa wananchi wa Dodoma kwani ndio Mkoa pekee nchini ambao unapatikana aina nyingi zaidi za madini ukilinganishwa na Mikoa mingine ya Tanzania.

Hayo yalibainishwa lwakati wa kikao kazi kilichoitishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule na wadau mbalimbali wa madini wakiwemo wakala wa utafiti wa madini (GST), STAMICO, Tume ya madini pamoja na wachimbaji wadogo wa madini ndani ya Mkoa wa Dodoma. Kikao hicho kimefanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jengo la Mkapa.

"Natamani madini yaonekane kwenye sura za wananchi wa Dodoma ili yachechue Uchumi wa wananchi na Mkoa kwa ujumla. Mhe. Rais ameipa kipaumbele sekta ya madini kwa kuboresha sera mbalimbali za madini kama vile kuimarisha kodi, ushuru pamoja na utafiti.

" Mkoa pia katika vipaumbele vyake umeipa madini kuwa kipaumbele namba moja ikifuatiwa na viwanda, Utalii, Mji wa kimkakati n.k. sekta hii imepewa uzito Mkubwa kwa kupewa thamani ya kubadilisha maisha ya watu.Tunatamani Dodoma tuwe wanufaika wa madini haya" Alisema Senyamule.

Awali akitoa taarifa ya utafiti wa madini yanayopatikana ndani ya Mkoa wa Dodoma, Mjiolojia kutoka GST Bw. Abbas Mruma, amesema Mkoa wa Dodoma unashika namba 1 kwa kuwa na aina nyingi za madini ukifuatiwa na Mkoa wa Lindi kwa kuwa unapatikana kwenye makutano ya miamba mikubwa ambayo ina miaka mingi zaidi ya 300 na kadri umri wa mwamba unavyokua mkubwa, ndivyo unavyozidi kuwa imara na kutoa madini imara pia.

"Mkoa wa Dodoma unaongoza kwa upatikanaji wa madini aina 47 huku Lithium ikiongoza tena yenye ubora ikipatikana kwenye eneo la Hombolo Jijini Dodoma na kufuatiwa na madini mengine kama vile Dhahabu, Nikel, Shaba, chuma, Uranium na mengine mengi. Tafiti zinaonesha kuwa uchimbaji mkubwa wa madini ulifanyika kwenye Mlima Sekenke huko Singida kwa madini ya Dhahabu lakini pia tumegundua kuna uwiano wa takribani madini 100,000 ardhini kwa nchi nzima ikiwemo Dodoma" Ameongeza Bw. Mruma

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.