• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Madiwani msisubiri, tatueni changamoto za wananchi-Meya Mwamfupe

Imewekwa tarehe: August 9th, 2021

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

MADIWANI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wametakiwa kutafutia ufumbuzi changamoto zinazowakabili wananchi katika kata zao bila kusubiri vikao vya maamuzi.

Maelekezo hayo yalitolewa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Prof. Davis Mwamfupe katika mkutano maalum wa Baraza la Madiwani alipokuwa akichangia hoja katika ukumbi wa mikutano wa Chuo cha Mipango jijini Dodoma.

Prof. Mwamfupe alisema “msisitizo mkubwa kwetu madiwani ambao tunatakiwa kuukwepa ni pale tunaposhindwa kutenganisha masuala ya utendaji wa kila siku na masuala ya kimipango yanayohitaji maamuzi. Baraza hili lisingekuwa sehemu ya kusema mtendaji wangu amenikwaza, tuyaseme hayo yanapokuwa matatizo sugu. Yale matatizo ya kiutendaji yasisubiri vikao vya baraza. Utatuzi wa shida za wananchi wetu usisubiri mabaraza. Mabaraza yawe kwa ajili ya kufanya maamuzi”.

Akitoa salamu zake, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri alimpongeza mwenyekiti wa mkutano huo ambaye ni Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kuendesha Baraza la Madiwani kwa weledi. “Ufanisi wa baraza hili unaweza kutafsiriwa kwa wakuu wa idara watatu kwa kuteuliwa na Mheshimiwa Rais kuwa Wakurugenzi wa Halmashauri. Hongereni baraza kwa kuwalea vijana hawa” alisema Shekimweri.

Akimuongelea Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mkuu huyo wa wilaya alimtaja kuwa msikivu na muungwana. “Nasaha zangu kwa Mkurugenzi wa Jiji, abaki kuwa Joseph Mafuru. Aishi kwa tabia zake, ni mtu msikivu, muungwana, ana adabu na mtu anayetoa ushirikiano. Ukiyaishi hayo utafanikiwa. Hivyo basi, jenga timu ambayo najua ipo tayari ila badilisha ‘culture’ ya utendaji kazi. Hasa kujibu barua za wananchi. Kujenga tamaduni ya kujali wateja. Huduma kwa mteja ni muhimu sana” alisisitiza Shekimweri.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.