• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Madiwani Wanawake watakiwa kusimamia Halmashauri

Imewekwa tarehe: May 6th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Dkt.Binilith Mahenge amewataka Madiwani Wanawake kusimamia Halmashauri katika utekelezaji wa miradi ya Afya, Elimu Miundombinu, Biashara pamoja na huduma za kijamii ili miradi iweze kukamilika kwa wakati.

Agizo hilo amelitoa Mei 5,2021 jijini Dodoma wakati akifunga mafunzo ya kuwawezesha Madiwani wanawake kutoka Halmashauri za jiji la Dodoma,Chamwino na Chemba yaliyofanyika kwa siku tatu na kufadhiliwa na Shirika la Hanns Seidel Foundation (HSF) Tanzania na Uganda.

Dkt.Mahenge amesema kuwa lazima mkazingatie viwango vyote vya ubora viendane na thamani halisi ya fedha katika miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye ngazi ya Halmshauri/Serikali za Mitaa.

”Nimeambiwa kuwa mafunzo haya yamehudhuriwa na washiriki 40 nawapongeza kwa kwa kujitokeza kushiriki mafunzo hayo nawaomba mliyojifunza hamtayaacha hapa bali mtayaweka katika matendo yenu ya kila siku”amesema Dkt.Mahenge

Aidha Dkt.Mahenge amewataka kusimamia sula la ukusanyaji mapato (mapato ya ndani) pamoja na kudhibiti mianya ya upotevu wa mapato na kuzuia ubadhirifu wa fedha za Serikali unaofanywa kwa njia mbalimbali.

”Mafunzo haya yakawe chachu katika kusimamia Halmashauri zenu katika uendeshaji wake,matumizi ya fedha kwa kufuata taratibu na kusimamia kanuni za kisheri ili kuondokana na hoja za CAG na kuepukana na kupata hati chafu na zenye mashaka”amesisitiza 

Amesema kuwa tayari ripoti ya CAG imeshatoka kwenye Halmashauri zetu kupitia hoja zote zilizoibuliwa na kuziwekea mkakati wa kuzishughulikia na kuzimaliza zote.

Hata hivyo amesema kuwa amefarijika kuona kwamba mafunzo haya ya siku tatu yamegusa wanawake zaidi,imani yangu kuwa kutakuwa na ongezeko la wanawake watakaoteuliwa,kuchaguliwa na kushiriki katika siasa ndani na nje ya vyama vya siasa.

”Hili ni muhimu zaidi katika ukanda wetu huu ambapo kushamiri kwa mfumo dume kumechangia kupungua kwa idadi ya wanawake wanaoshiriki katika shughuli za kisiasa na kiungozi”amesema Dkt.Mahenge

Kwa upande wake Mbunge wa Viti Maalum ambaye amewezesha uwepo wa mafunzo hayo kwa kuomba Ufadhili kwenye shirika la HSF Mhe.Fatma Toufiq amesema kuwa sababu ya kuwaita madiwani wanawake ni kuwafundisha masuala mbalimbali ili waweze kutenda kazi zao kwa weledi.

”Kuna masuala mbalimbali wamejifunza hapa kanuni,Diwani anatakiwa awaje,kufatilia msuala mbalimbali ya bajeti maana tumetoka kwenye uchaguzi hivyo kuna madiwani wapya lazima waweze kujua jinsi gani ya kuwatetea wanawake katika jamaii inayowazunguka”amesema Mhe.Toufiq

Katika mkutano huu kulikuwa na madiwani 40 lakini miongoni mw madiwanai hao ni wa vitu maalum pamoja na madiwani wa kata,tunajua madiwani wa kata kazi zao ni kusimamia katika kata pamoja na vijiji vinavyowazunguka lakini wa viti maalum wao wanasimamia tarafa.

”Tunaamini mafunzo hayo yawasaidia kufanya kazi kwa weledi pamoja na nakuona bajeti katika halmashauri zao na kushirika masula mbalimbali ili waweze kuishauri vizuri Serikali hatimaye maendeleo endelevu yaweze kupatikana”amesisitiza Mhe.Toufiq

 

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.