• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Ujenzi Kituo cha Kibiashara Afrika Mashariki, neema ya ajira yaja

Imewekwa tarehe: April 23rd, 2023

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Angellah Kairuki amesema maelfu ya Watanzania wanatarajia kunufaika na ajira katika ujenzi wa Kituo cha Kibiashara Afrika Mashariki nchini.

Ujenzi huo unatarajiwa kutoa ajira rasmi 15,000 na zisizo rasmi 50,000 kwa Watanzania.

Aliyasema hayo wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa Kituo cha Kibiashara Afrika Mashariki katika Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo,Dar es Salaam.

Alisema, Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ilipokea mradi wa uwekezaji wa Ujenzi wa Kituo cha Kibiashara Afrika Mashariki mwaka 2021 kutoka kwa iliyokuwa Jiji la Dar es Salaam katika eneo la iliyokuwa stendi ya mabasi ya Ubungo. "Mkataba wa awali wa uwekezaji ulisainiwa mwaka 2015 kati ya Jiji la Dares salaam na Mwekezaji Shanghai Linghang Group Limited ambapo mpaka Manispaa ya Ubungo inapokea mradi huu, utekelezaji ulikuwa bado haujaanza.

"Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ofisi ya Rais Ikulu, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Wizara ya Fedha na Mipango, Wizara ya Viwanda na Biashara na Taasisi ya Uwekezaji Tanzania iliunda kikosi kazi kwa ajili ya kupitia Mkataba wa awali na kuishauri Manispaa ya Ubungo.

"Baada ya Kikosi kazi kutekeleza wajibu wake iliishauri Manispaa ya Ubungo kupangisha eneo hilo na kusaini Mkataba na mwekezaji, ambao ulisainiwa tarehe 16/12/2022 kati ya Manispaa ya Ubungo na Shanghai Linghang Group Limited,"amefafanua Mheshimiwa Kairuki.

Pia, amesema uwekezaji katika eneo la Ubungo una thamani ya dola za Kimarekani 81,827,655.01 na ni mkataba wa miaka 32 tangu kusainiwa ambapo mwekezaji atakuwa amerejesha fedha za uwekezaji na kutakiwa kukabidhi umiliki kwa Manispaa ya Ubungo.

"Mradi huu utaifungua Tanzania kibiashara na kukuza uchumi kutokana na biashara zitakazokuwa zikifanyika na kukuza mahusiano ya Kimataifa kwa kuwa na muingiliano wa wafanyabiashara kutoka nchi mbalimbali,"alisema.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.