• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Magari 14 kusaidia kukuza utalii Kusini mwa Tanzania

Imewekwa tarehe: August 29th, 2020

Naibu Waziri wa Maliasiri na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu amelitaka Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kuyatumia magari 14 waliyokabidhiwa kwa malengo yaliyokusudiwa ili kuleta matokeo chanya kwa wananchi wa Kusini.

Ameyasema hayo jijini Dodoma wakati akikabidhi magari 14 kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Uhifadhi na Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW).

Akifafanua zaidi Naibu Waziri huyo amesema kupatikana kwa magari hayo katika Mradi wa REGROW ni muendelezo na jitihada za Serikali za kuhakikisha shughuli za Utalii zinafanyika kanda zote za nchi na sio ukanda wa Kaskazini pekee kama ilivyo sasa.

"Hatusemi kuwa Kaskazini inapendelewa bali tunataka kuona watalii wanatembelea vivutio vya utalii katika kona zote za nchi yetu na hii tutafanikiwa kwa kuimarisha miundombinu" amesisitiza Kanyasu.

Katika hatua nyingine Mhe. Kanyasu amelitaka TANAPA kuyatumia magari hayo kuboresha ujirani mwema kwa jamii zinazoishi karibu na Hifadhi kwa lengo la kufanya jamii hizo ziweze kushiriki katika shughuli za utalii pamoja na ulinzi wa wanyamapori.

Aidha, ametaka magari hayo kusaidia kuimarisha utendaji wa Hifadhi za Taifa katika ulinzi pamoja na kuwahudumia watalii pamoja na kusaidia katika shughuli za ujirani mwema.

Mradi wa REGROW unatekelezwa na Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na baadhi ya Taasisi zake ambazo ni TANAPA, NCAA, TTC na TAWIRI.


Baadhi ya magari yaliyokabidhiwa kwa ajili ya kukuza utalii ukanda wa Kusini mwa Tanzania.


Chanzo: Ukurasa wa Wizara ya Maliasili na Utalii - wizarayamaliasilinautalii - instagram

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.