• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Magari ya Wagonjwa yaliyotolewa na Serikali yakatiwe Bima

Imewekwa tarehe: November 17th, 2022

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu ameelekeza magari yote  ya wagonjwa nchini yaliyotolewa na Serikali yanakatiwa Bima ya ajali ili iweze kusaidia katika matengenezo pale yanapopata ajali au kuharibika.

Mwalimu amesema hayo jijini Dodoma wakati akikabidhiwa magari 8  ikiwemo gari la wagonjwa yenye thamani ya Shilingi Milioni 500 kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) kanda ya Afrika ambayo yatatumika katika kujenga uwezo wa nchi wa kujiandaa,kugundua na kukabiliana na maafa na majanga ya afya ya jamii.

Mwalimu ameonekana kusikitishwa na taarifa za kuharibika kwa magari ya wagonjwa ambayo yametolewa na Serikali katika Halmashauri mbalimbali nchini ili yaweze kutoa huduma kwa wagonjwa wa maeneo husika lakini inakua tofauti na matarajio yaliyokusudiwa kwani mengi yanapata ajali au kuharibika na kuachwa bila matengenezo.

“Naumia sana kuona magari ya kubebea wagonjwa (Ambulance) tuliyonunua kwa bei kubwa yanakua hayakatiwi Bima na matokeo yake yakipata ajali au kuharibika yanatekelezwa. Kwahiyo nataka 'Ambulance' zote nchini zilizotolewa na Serikali zikatiwe Bima”. Amesisitiza Mwalimu.

Aidha, Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya kuandaa mafunzo kwa madereva watakaoendesha magari hayo yaliyotolewa na WHO kuwa na mwitikio wa dharura katika majanga ya kiafya na ajali ili kuweza kukabiliana na maafa kwa haraka na kuweza kuokoa Maisha.

Pamoja na hayo Mwalimu amelishukuru Shirikia la Afya Duniani (WHO) kupitia kwa Kaimu Mwakilishi Mkazi wa WHO Tanzania Dkt. Zabulon Yoti kwa kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania kwa kutoa vifaa ikiwemo magari hayo ili kuweza kuimarisha hali ya utayari wa nchi katika  kukabiliana na dharura na majanga ya afya ya jamii.

Mwisho, Mwalimu ameendelea kusisitiza ushiriki wa Sekta zote muhimu nchini katika kupambana na kukabiliana na majanga yanayoathiri afya ya jamii kwani hayahusu sekta ya afya peke yake.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.