• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Majaliwa aeleza namna nzuri ya kumuenzi Hayati Magufuli

Imewekwa tarehe: March 22nd, 2021

WATANZANIA wameelezwa kuwa namna nzuri ya kumuenzi aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ni kuyaishi maono ya utumishi wake katika kufanya kazi kwa bidii.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo katika uwanja wa Jamhuri, jijini hapa wakati wa hafla rasmi ya kitaifa ya kuuaga mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli iliyohudhuriwa na viongozi kutoka mataifa mbalimbali na wananchi wa Jiji la Dodoma na mikoa ya jirani.

Waziri Mkuu Majaliwa amesema “namna nzuri ya kumuenzi Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ni kuishi utumishi wake uliojaa maono na mapenzi katika utumishi wake. Maono hayo ni kufanya kazi kwa bidii, kwa kuzingatia umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Na katika kipindi hiki cha maombolezo, tuzidishe upendo, umoja na mshikamano miongoni mwetu”.

Waziri Mkuu huyo amezishukuru nchi jirani na kuwaombea kuendelea vizuri katika utekelezaji wa majukumu yao. “Leo tumethibitisha upendo wenu kwetu, kuwapata Marais tisa siyo jambo dogo, kuwapata Makamu wa Rais wawili siyo jambo dogo. Jambo hili linaonesha upendo mkubwa walionao dhidi yetu” alisema Majaliwa.

Akisoma wasifu wa Hayati, Dkt. Magufuli, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa, Prof. Paramagamba Kabudi amesema kuwa kisiasa, Hayati Dkt. Magufuli aligombea ubumbe katika Jimbo la Bihalamulo mashariki mwaka 1990 na hakufanikiwa.  Mwaka 1995 aligombea tena ubunge katika uchaguzi mkuu wa vyama vingi na kushinda Jimbo la Bihalamulo Mashariki. Mwaka 2000 na mwaka 2005 aligombea ubunge Jimbo la Bihalamulo Mashariki na kupita bila kupingwa. Baada ya kugawanywa jimbo hilo, mwaka 2010, aligombea ubunge jkupitia Jimbo la Chato, na kupita bila kupingwa.

Waziri kabudi amesema kuwa mwaka 2015, alikuwa miongoni mwa makada wa Chama cha Mapinduzi waliochukua fomu kuomba kupeperusha bendera ya CCM katika nafasi ya urais. Aliteuliwa na chama chake kupeperusha bendera hiyo na kushinda urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.