• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Majaliwa amaliza mgogoro wa eneo la ujenzi ofisi za Halmashauri Kigoma

Imewekwa tarehe: September 17th, 2021

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Ofisi ya Rais-TAMISEMI ihakikishe inasimamia ujenzi wa majengo ya ofisi za halmashauri ya wilaya ya Kigoma unafanyika kwenye Kata ya Mahembe kama ilivyopendekezwa katika vikao vya Baraza la Madiwani, si katika Kata ya Kamala linalopendekezwa na wataalamu.

Ametoa agizo hilo leo (Ijumaa, Septemba 17, 2021) mara baada ya kusimamishwa na wakazi wa kata hiyo ambao wamedai maamuzi ya madiwani yamebadilishwa na kusisitiza kuwa kama sababu ni eneo kutofaa kwa ujenzi wa majengo ya ghorofa wabadilishe ramani Ili yajengwe majengo ya kawaida.

Wananchi hao ambao waliwasilisha malalamiko yao kupitia mabango walimueleza Waziri Mkuu kwamba hawaridhishwi na maamuzi ya Serikali ya kuhamishia ujenzi wa ofisi za halmashauri katika Kata ya Kamala wakati Baraza la Madiwani lilishatoa maamuzi kupitia vikao rasmi.

Akijibu malalamiko hayo Mhe. Majaliwa alisema “Katibu Tawala wewe unajua kwamba maamuzi ya ujenzi wa Halmashauri yanaamuliwa na wananchi wenyewe kupitia Baraza lao la Madiwani, na Baraza la Madiwani limekaa mara tatu, na wewe ndio msimamizi wa Halmashauri zote kwenye mkoa huu, maamuzi haya bado yatabaki kuwa maamuzi ya Halmashauri. 

Kama eneo hilo sababu ni hizo za kwamba eneo ghorofa halifai, ni lazima mjenge maghorofa? umuhimu ni kujenga majengo ya kutolea huduma, ghorofa sio lazima! Ili mradi wanaMahembe wametoa ekari 20, na ni muhimu kupata eneo kubwa ili mjenge hizo ofisi zenu na nyumba mjenge hapo, nyumba nyingine mjenge hapo, muweke na viwanja vya michezo… huko (kwingine) msijenge” alisema Waziri Mkuu huku akishangiliwa na wananchi wa kata ya Mahembe.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.