• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Makamu wa Rais, Jiji waendesha kampeni ya Mazingira

Imewekwa tarehe: September 6th, 2021

Na Getruda Shomi, DODOMA

OFISI ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameshiriki katika kampeni ya kuhamasisha udhibiti wa taka ngumu kwa kuonesha utenganishaji wa taka ili kupunguza uchafuzi wa mazingira utokanao na kemikali za sumu katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma.

Akiongelea kampeni hiyo Afisa Mazingira katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Ally Mfinanga alisema kuwa ni muhimu kutunza taka kwa kuzitenganisha taka zinazooza, taka hatarishi na taka zinazoweza kurejerezwa hivyo itasaidia Halmashauri kuweza kuchakata taka zinazooza ili kutengeneza gesi kwaajili ya nishati lakini pia kwa taka zinazooza kutengenezea mbolea.

Akijibu swali la Mfanyabiashara wa Soko  Kuu la Majengo, aliejitambulisha kwa majina Issa Ramadhani lililouliza ni wapi wanaweza kuuza taka ngumu kama chupa za maji safi baada ya kuzitumia, Mfinanga alijibu kuwa Jiji la Dodoma linawafanyabiashara wengi wanaonunua chupa hizo kwaajili ya kuzirejereza viwandani, hivyo alliwashauri wafanyabiashara wazipeleke huko kwani hununuliwa hivyo kujipatia kipato “Tunawafanyabiashara wengi ambao wananununa chupa za plastiki hivyo pelekeni huko na wanazinunua kwa shilingi mia na hamsini kwa kilo” alisema Mfinanga.

Akiongelea suala la udhibiti wa taka za kielektroniki, Afisa mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Agnes Mabina alisema taka hizo zitengwe na yapo makampuni yaliyosajiliwa na serikali kwaajili ya kukusanya taka hizo na kuzisafirisha nje ya nchi kwaajili ya kuziteketeza na zingine kurejerezwa. “Kuna viwanda maalum ambavyo vinarejereza taka hatarishi za kielektroniki ambapo zipo nje za nchi, hivyo yapo makampuni yameomba kibali kwaajili ya kuzikusanya na kuzipeleka  nje ya nchi ambapo kuna viwanda vya kuzirejereza” alisema Mabina.

Naye mwalimu wa shule ya sekondari ya Makutupora, mwalimu Mohamed Mbwana baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo vya kutunzia  taka kwa kuzitenga aliwahakikishia Maafisa mazingira hao kuwa watazitumia kwa uzuri kabisa wakifuata elimu ya namna ya kuzitenga taka hizo.

Kampeni hiyo inayooanza kufanyika Jiji la Dodoma inategemeway kufanyika pia katika mikoa mingine nchini Tanzania.

 

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.