• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Shule ya Sekondari Makutopora yatakiwa kukamilisha ujenzi 28, Februari 2023

Imewekwa tarehe: February 15th, 2023

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

KAMATI ya Siasa ya Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Dodoma imeridhika na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa maabara katika Shule ya Sekondari Makutopora na kuagiza ujenzi huo kukamilika ifikapo tarehe 28 Februari, 2023.

Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Dodoma, Charles Mamba alipoongoza Kamati ya Siasa ya Halmashauri kuu ya CCM kutembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa maabara moja katika Shule ya Sekondari Makutopora iliyopo jijini Dodoma.

Mamba alisema “nimeridhika na mradi huu wa ujenzi wa maabara unaendelea vizuri. Mjitahidi ikifika tarehe 28 Februari, 2023 mradi uwe umekamilika”.

Awali akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa maabara katika Shule ya Sekondari Makutopora kwa Kamati ya Siasa ya Halmashauri kuu ya CCM Wilaya ya Dodoma, mwakilishi wa Afisa Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwalimu Fredrick Mwakisambwe alisema kuwa tarehe 28 Desemba, 2022 shule ilipokea shilingi 60,000,000 kwa ajili ya ujenzi wa maabara moja, ujenzi ulianza tarehe 12 Januari, 2023. “Kiasi cha fedha kilichotumika hadi sasa ni shilingi 34,328,500 na kiasi ambacho hakijatumika ni shilingi 25,671,500. Hadi sasa ujenzi umefikia asilimia 80. Matarajio ya kukamilisha kazi ni tarehe 15 Februari, 2023. Hadi sasa hatujapata changamoto yoyote katika utekelezaji wa mradi” alisema Mwalimu Mwakisambwe.

Shule ya Sekondari Makutopora ilianzishwa mwaka 2000 ikiwa na walimu 6 na wanafunzi 67, kwa sasa ina jumla ya wanafunzi 772 kati yao wavulana 356 na wasichana 416. Shule inajumla ya walimu 44 kati yao wakiume 24 na wakike 20.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.