• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mamia ya wafanyakazi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameuaga mwili wa aliyekuwa Mtumishi mwenzao

Imewekwa tarehe: January 15th, 2025

Na.Coletha Charles, Dodoma

MAMIA ya wafanyakazi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wameuaga mwili wa aliyekuwa Mtumishi mwenzao dereva Daraja la II Karim Shabani, katika viwanja vya Manispaa ya zamani kilichotokea tarehe 13 Januari, 2025.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji, Mkuu wa Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) Joseph Fungo, aliwataka watumishi kuishi kwa namna inavyompendeza Mungu , kufanya kazi kwa bidii na uaminifu ili siku zao zikikoma za kuishi duniani Mwenyezi Mungu akawalipe thawabu kwa mema waliyoyafanya.

Alisema kuwa watumishi wasifanye vitu ambavyo havipo kwenye miongozo ya kazi zao ili wasijitengenezee hukumu kwa Mwenyezi Mungu na badala yake, kufanya kazi kwa bidii ili iwe sadaka. “Tumejifunza kwenye vitabu vya dini sisi hapa duniani, kama alivyosema mchungaji maisha yetu ni mafupi na yamejaa shida na tabu, Lakini baada ya maisha haya tunatarajia kwenda mbinguni kila mtu anatamani kufika mbinguni. Wakati mwingine kinachotatiza ni njia ya kwenda mbinguni na hiki kilichotokea kwa mwenzetu leo ndiyo njia ya kwenda mbinguni” alisema Fungo.

Kwa upande wake, Mchungaji wa Kanisa la Anglikana, Hephice Mlulu, aliyeongoza ibada ya kumuaga marehemu, aliwakumbusha waombolezaji na wafanyakazi kuwa, changamoto zozote wanazopitia zisiwatenge na Mungu kwa sababu ni kimbilio wakati wa tabu.

Alisema kuwa mwanadamu ana moyo mwepesi anapoguswa na jambo kama hili moyo wake lazima utikisike na kushtuka ambapo siku za mwanandamu za kuishi zimekwisha kuhesabiwa na si nyingi. “Mungu anasema hivi vyote vitatoweshwa kama kivuli, kama tunavyoona maisha ya ndugu yetu alistawi na alichanua, matumaini yetu sote alikuwa ni nguvu kazi ya taifa katika ofisi. Lakini Mungu alisema hapana, siku zake zimekoma, na Yesu alisema yeye ndiye njia ya kweli na uzima, zipo njia za mikato lakini kifo hakina hiyo njia” alisema Mlulu.

Mwili wa marehemu Karim Shabani umesafirishwa kwa ajili ya kupumzishwa huko Mkoani Kigoma, Wilaya ya Kibondo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.