• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mamilioni ya TASAF yajenga Zahanati Ikelu

Imewekwa tarehe: November 17th, 2022

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Jenista Mhagama amesema, shilingi Milioni 264.3 zilizotolewa na Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) zimetumika kujenga zahanati ya Kijiji cha Ikelu iliyopo katika Halmashauri ya Mji Makambako na nyumba ya watumishi wa zahanati hiyo ili kutekeleza maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kusogeza huduma za afya karibu na wananchi.

Mhagama amesema hayo, mara baada ya kukagua ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Ikelu na nyumba ya watumishi wa zahanati hiyo, akiwa kwenye ziara yake ya kikazi ya kukagua utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) katika Halmashauri ya Mji Makambako.

Mhagama amesema kuwa, kutokana na maombi ya wananchi wa Kijiji cha Ikelu, Rais Samia Suluhu Hassan kwa mapenzi yake aliridhia milioni 264.3 zitumike kutatua changamoto ya kukosekana kwa huduma za afya kwa wananchi wa kijiji hicho.

"Rais kupitia fedha za TASAF alielekeza ijengwe zahanati na nyumba ya watumishi wa zahanati hiyo ili kuondoa tatizo la ukosefu wa zahanati na nyumba ya watumishi wa afya ambao wana jukumu la kuhakikisha wananchi wanakuwa na afya bora itakayowawezesha kushiriki shughuli mbalimbali za maendeleo," Jenista amefafanua.

Akizungumzia ubora wa zahanati na nyumba ya watumishi iliyojengwa, Mhagama amesema kuwa amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi huo wa zahanati na nyumba hiyo ya watumishi, na kubaini kuwa miradi yote miwili imejengwa kwa ubora na viwango vinavyotakiwa kwa kuzingatia thamani ya fedha iliyotumika.

Sanjari na hilo Mhagama amesema, Serikali haitoishia katika ujenzi wa zahanati na nyumba ya watumishi pekee kwani Rais ameiagiza TASAF kuleta vifaa tiba ili kuhakikisha huduma ya afya ya mama na mtoto pamoja na wananchi kwa ujumla zinapewa kipaumbe kama ambavyo Serikali ya Awamu ya Sita imekusudia.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Kissa Kasongwa amesema wananchi wa Kijiji cha Ikelu wanamshukuru Rais kwa kuwajengea zahanati.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.