• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

MANISPAA YA DODOMA YATEKELEZA AGIZO LA SERIKALI KUANGAMIZA MAZALIA YA MBU

Imewekwa tarehe: December 13th, 2017

HALMASHAURI ya Manispaa ya Dodoma imeanza utekelezaji wa agizo la Serikali la kila Halmashauri nchini kuhakikisha inaangamiza vimelea vya mbu waenezao ugonjwa wa Malaria kwa kupulizia dawa katika maeneo yote ambayo ni rafiki kwa vimelea hivyo kukua.

Utekelezaji wa agizo hilo umeanza jana Jumanne Desemba 12, 2017 na litadumu kwa siku saba, ambapo watakaohusika na upuliziaji ni watumishi sita (6) kutoka Ngazi ya Halmashauri na Wanajamii sitini (60) wa kujitolea kutoka katika Kata 41 za Manispaa ya Dodoma.

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma Hamad Nyembea amesema maeneo ambayo yatapuliziwa dawa kwa ajili ya kushambulia vimelea hivyo ni pamoja na maeneo ya Mabwawa yakiwemo mabwawa ya Maji Taka, madimbwi yanayotuamisha maji, makorongo, mifereji, na matenki yanayotumika kuhifadhia maji majumbani.

Zoezi hili ni shirikishi ambapo ngazi zote za uongozi katika Wilaya zitashiriki kwa namna moja au nyingine katika usimamizi, kuanzia Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Madiwani, Menejimenti ya Halmashauri, Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Halmashauri, Viongozi wa Tarafa, Kata, Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

Kwa Mujibu wa Daktari Nyembea, dawa inayopuliziwa ni mahususi kwa ajili ya kushambulia vimelea vya mazalia ya Mbu tu, na haina madhara yeyote kwa binadamu hivyo amewataka wakazi wa Manispaa kutokuwa na hofu yeyote kwani zoezi  hili ni muendelezo wa vita ya muda mrefu ya kutokomeza ugonjwa wa Malaria nchini.

Alitoa wito kwa Wananchi kuwa watulivu na kutoa ushirikiano utakaohitajika wakati wa zoezi la upuliziaji, ambapo wadau mbalimbali pia watashirikishwa ikiwemo Vyombo Vya Habari, Viongozi wa Dini, Watu maarufu, na Taasisi mbalimbali.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.