• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Maombi ya vizimba, maduka stendi kuu na soko la Ndugai sasa bure, mfumo wazinduliwa

Imewekwa tarehe: April 16th, 2020

HALMASHAURI ya jiji la Dodoma imezindua mfumo rasmi kwa njia ya mtandao ambao utatumika kila mwananchi kujaza fomu ya maombi ya kupata kibanda cha biashara katika miradi ya  soko kuu la Job Ndugai pamoja na stendi kuu iliyopo Nzyuguni  ikiwa ni jitihada za kupambana na ugonjwa wa COVID-19.

Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi wa Jiji hilo Godwini Kunambi leo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mfumo huo pamoja na taratibu zitakazo fuatwa na wananchi katika kufanikisha zoezi hilo.

Kunambi alisema kuwa mfumo huo umeandaliwa na wataalamu kwa ufanisi mkubwa ambapo utawapa fursa watu wote waliopo ndani na nje ya Mkoa wa Dodoma , kujaza fomu ya maombi kwa kutumia simu ya mkononi yenye mtandao au kompyuta huku akiwaahidi  wananchi wote ambao walilipia fomu ya maombi shilingi elfu ishirini kuwa watarudishiwa fedha zao kwani zoezi hilo linaanza upya na halilipiwi.

Alisema mfumo huo utasaidia kwa kiasi kikubwa kuondoa msongamano wa watu ambao ungesababisha maambukizo ya  ugonjwa huo wa Corona, kila mwananchi kupata fursa ya kupata kibanda, kuondoa lawama pamoja na kuondokana na adha ya kusafiri kuja Dodoma badala yake watafuata utaratibu unaotakiwa ili kufanikiwa zoezi hilo.

"Jiji kwa kushirikiana na wataalamu mbalimbali wa Serikali na ofsi ya mkuu wa Mkoa imeandaa mfumo huu ambao tumefanikiwa na leo tunauzindua na unaanza rasmi kutumika ambapo tunatoa fursa kwa watu wote bila kujali dini, cheo wala umaarufu, kuanza kutumia mfumo huu kuomba na kujaza fomu kwa ajili ya kupata kibanda cha biashara katika soko kuu la Job Ndugai na Stendi kuu mpya ndani ya siku saba ambapo jumla miradi yote miwili itahitaji waombaji 1000 ."alisema Kunambi

"Na niwataarifu watanzania kwamba kila mmoja anayo fursa ya kuomba na kufuata vigezo vyote ambavyo vitaoneshwa kwenye mtandao wakati wa kujaza fomu bila kusahau kuambatanisha leseni ya biashara ambapo baada ya kujaza mtandao wenyewe utafanya upembuzi kwa ambao watatimiza masharti hivyo sitegemei lawama zozote kwani mimi na timu yangu hatuna mamlaka yoyote mtandao utafanya kila kitu"alisema Kunambi

Aidha alisema kutokana na miradi mikubwa minne iliyopo, kuna miradi miwili ya mapumziko na sehemu ya kupaki malori haitaombwa kwa njia ya mtandao bali itatangazwa kwenye zabuni ambapo kutakuwa na utaratibu wake.

"Na pia niwafafunulie kwamba muombaji anatakiwa kuwa na namba ya usajili (TIN), leseni hai ya biashara, kitambulisho cha utaifa (NIDA), awe na kompyuta  au simu yenye mtandao wa intaneti "aliongeza Kunambi.

Hata hivyo aliwataka machinga kutokuomba kupitia mfumo huo kwani kuna utaratibu na eneo maalumu ambao umewekwa kwa ajili yao. 


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.