• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mashindano ya UMISETA ngazi ya wilaya yafikia tamati Jijini Dodoma

Imewekwa tarehe: May 23rd, 2021

MWAKILISHI wa Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma Mhe. Sospeter Mazengo amewakambidhi washindi wa mashindano ya UMISETA ngazi ya wilaya kwa upande wa mpira wa miguu na pete. Zawadi hizo zimetolewa katika uwanja wa mpira wa Shule ya Sekondari Dodoma.

Zawadi hizo amezitoa kama pongezi kwa timu ya mpira wa miguu na mpira ya pete lengo likiwa ni kuwapongeza na kuwafanya waongeze juhudi zaidi katika mashindano mengine yatakayokuwa yanaendelea.

Mazengo amesema michezo ni kitu kizuri kwakuwa inaburudisha na pia michezo ni ajila, watu wengi wameweza kuajiliwa, pia michezo ni afya inafanya wachezaji wawe na afya njema, hivyo ni vyema wanafunzi wakashiriki katika michezo kwa kuwa ina faida nyingi.

‘’kwa wale mtakao chaguliwa kuunda timu ya Wilaya mtapata nafasi ya kwenda kutuwakilisha, mtambue kuwa mnajukumu la kutuwakilisha vizuri kwa kujitambua na kuonesha vipaji na kujianimi kuwa mnaweza kufanya vizuri’’, amesema Mazengo.

Pia ameweza kutoa shukurani mbalimbali kwa watu wote waliojitokeza na kutoa baadhi ya vitu mbali mbali kufanikisha mashindano haya akiwemo Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mhe. Antony Mavunde.

Kwa upande wake Afisa Elimu ya Sekondari wa Jiji la Dodoma Upendo Rweyemamu alitoa pongezi nyingi kwa washiriki pamoja na washindi kwa kuonesha ushindani na kuwa na ushirikiano katika kipindi chote cha mashindano hayo.

Rweyemamu alisema nimeandaa zawadi lengo likiwa ni kuleta ushindani na kutengeneza timu nzuri ndio maana tulitafuta wasimamizi wazuri wa michezo hiyo wasiokuwa na upendeleo wowote.

Afisa Elimu huyo alisema mashindano hayo ni mazuri kwani yanawajenga wanafunzi kiafya na kiakili hivyo anawasihi wazazi na walezi kuendelea kuwapa ushilikiano mkubwa wanafunzi hao.

‘’kutokana na hitihisho la mashindano haya hivi leo tumeweza kuunda timu yetu ambayo itakuwa na washiriki 100 tu ambao tutaanza nao kambi kuanzia tarehe 3 mwezi wa sita ili kuendelea kufanya mazoezi kwa ajili ya kambi zijazo’’, alisema Rweyemamu.

Pia alisema kuwa ana imani na timu ya Wilaya iliyoundwa hivyo ushindi wote utabaki kuwa wao mpaka mwisho wa mashindano hayo kwa michezo yote ambayo watashiliki.

Aidha, Rweyemamu ametoa pongezi nyingi kwa walimu wote wa michezo wa shule zilizoshiriki katika mashindano hayo kwa ushirikiano mkubwa waliouonesha kwa kipindi chote cha mashindano.

Kwa upande wake mshiriki la shindano hilo Zainabu Bakari alisema amefurahishwa na mashindano hayo kwani yameweza kumjengea uwezo mkubwa katika michezo.

‘’Mashindano haya yamenisaidia kujuana na watu wengi pamoja na kujenga uwezo wa kujiamini na kucheza mbele ya watu wengi na pia nimefurahia kwa zawadi ambayo tumepewa’’, alisema Bakali.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.