• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mashindano ya UMISSETA 2024 yaanza Tabora

Imewekwa tarehe: June 19th, 2024

OR-TAMISEMI

Mashindano ya umoja wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) yameanza rasmi Mkoani Tabora leo tarehe 17 Juni, 2024 Mjini Tabora, yakishirikisha wanamichezo mbalimbali kutoka Mikoa yote ya Tanzania bara na visiwani.

Mashindano ya mwaka huu ambayo yanafanyika mkoani Tabora kwa mara ya tatu mfululizo, yanatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, kutokana na uboreshwaji wa miundombinu uliofanywa na Serikali hususana kwenye eneo la viwanja.

Kwenye baadhi ya michezo iliyochezwa leo kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari Tabora wavulana, Timu ya Mpira wa kikapu Wavulana ya Mkoa wa Mbeya ilianza vizuri mashindano ya mwaka huu kwa kiufunga Dodoma 51-29.

Katika mchezo mwingine Kilimanjaro ilipata ushindi wa vikapu 28 -13 dhidi ya Mkoa wa Pwani, na Kigoma ikapoteza dhidi ya Singida kwa jumla ya vikapu 48-14, na mchezo mwingine uliozikutanisha Mara na simiyu ulimalizika kwa Mara kuika na ushindi wa 23-20.

Kwa upande wa Mpira wa Wavu Wasichana, Katavi iliifunga Rukwa kwa Seti 3-0 na Manyara ikaifunga Dodoma 3-0, na kwa Wavulana Arusha ikapoteza 3-0 kwa Dar es salaam huku Mara ikiishinda Mtwara Seti 3-2

Mashindano ya UMISSETA 2024 yanayofanyika Mkoani Tabora tangu mwaka 2022, yanaandaliwa na kuratibiwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI, ikishirikiana na Wizara ya Utamaduni Sanaa na michezo, na Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia.

Kauli mbiu ya Mashindano ya mwaka huu inaasema “Tunajivunia mafanikio katika sekta ya elimu, michezo na Sanaa, Hima mtanzania shiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024”



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.