• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mashirika ya Umma na Binafsi kuwawezesha Vijana Wajasiliamali

Imewekwa tarehe: October 29th, 2022

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako ametoa rai kwa mashirka ya Umma na Binafsi kuendeleza utaratibu wa kuwawezesha vijana wajasiliamali kufanya biashara zao kwa ufanisi ili kujenga jamii yenye usawa wa kuchochea uchumi nchini.

Ameyasema hayo wakati wa hafla ya Ushirikishwaji na Uwezeshaji vijana kiuchumi kupitia Programu ya Chipsika kiajira na Coke iliyoandaliwa na kampuni ya Coca-Cola kwanza ambayo ni Kampuni tanzu ya Coca-Cola Beverages Afrika kwa kushirikiana na Taasisi ya Ustawi wa Jamii, tarehe 29 Oktoba, Jijini Dar es salaam.

Ndalichako ametoa rai kwa wadau wengine wa maendeleo kuiga jambo hilo ambapo Kupitia program ya Chipsika Kiajira na Coke, Vijana 900 wanao jishughulisha na shughuli za upikaji wa chakula maarufu (Chips) wa Dar es Salaam wamepatiwa mafunzo ya Ujasiliamali, Uwekaji wa kumbukumbu za taarifa za biashara, Ukuzaji wa mitaji pamoja na Elimu ya saikolojia.

Aidha, Vijana hao wamekabidhiwa majiko ya gesi 300, na mitungi ya gesi yakilogramu 15 ipatayo 300, makabati ya kuweka chakula 35, Meza jumla 80 pamoja na Apron 900 zikiambatana na fulana. Vitendea kazi hivyo vinatarajiwa kuwawezesha kuongeza tija katika biashara zao.

Amesisitiza kuwa serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia imendeleea kuweka Sera, Mipango na programu wezeshi za kuwainua Vijana nchini ikiwa ni pamoja na Mfuko wa Maendeleo ya Vijana ambao hadi sasa tayari umewezesha kutoa mikopo ya Shilingi bilioni 8.13 kwa zaidi ya vijana 1,057.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Coca-Cola Kwanza, Unguu Sulay, amebainisha kuwa kanuni hiyo imekuja na mpango huo kabambe wenye lengo la kwenda kutambua juhudi zifanywazo na vijana nchini ili kuwajengea uwezo vijana wajasiliamali wa chakula ili kuweza kuongeza ufanisi wa shughuli zao.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.