• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mashirika yasiyo ya kiserikali ni chachu ya maendeleo kwa wananchi

Imewekwa tarehe: August 14th, 2025

Na. Elizabeth S. Dai

Habari- DODOMA RS

Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) yamekua yakichagiza jitihada za Serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake na makundi maalum Mhe. Dorothy Gwajima ambae amemuwakilisha Mgeni rasmi Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdory Mpango katika Kongamano la mwaka la Mashirika yasiyo ya Kiserikali lililohitimishwa leo Agosti 13, 2025 katika ukumbi wa Jakaya Kikwete uliopo jijini Dodoma.

“Ni ukweli usiopingika kuwa Mashirika yasiyo ya Kiserikali yamekua yakichagiza jitihada za Serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo kupitia utekelezaji wa miradi hususani katika sekta ya afya, kilimo, elimu, maji , mazingira, utawala bora, maendeleo ya jamii, miundombinu, mifugo na uvuvi pamoja na sekta nyingine.”

Akitoa salamu za Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, Mkuu wa Wilaya ya Chamwino Mhe. Janeth Mayanja amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inatekeleza majukumu mbalimbali katika kupambana na changamoto za kiuchumi na kijamii kwa lengo la kujenga Taifa bora kwa kuzingatia upatikanaji wa huduma muhimu kwa makundi yote.

Nae Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO), Bw. Jasper Makalla amesisitiza ushirikiano kati ya Mashirika ya Kiserikali, Mashirika yasiyo ya Kiserikali na Sekta Binafsi katika kuleta maendeleo katika jamii.

Kongamano hilo lililobeba kaulimbiu inayosema “Tathmini ya Miaka Mitano ya Mchango wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali katika Maendeleo ya Taifa: Mafanikio, Changamoto, Fursa na Matarajio” limeambatana na uzinduzi wa kitabu cha muongozo pamoja na kamati ya Taifa yenye wajumbe kutoka taasisi mbalimbali ambayo itasimamia kazi zote za Mashirika hayo kwa ushirikiano.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Serikali yaboresha mazingira ya kufundishia na kujifunza- Mwambene

    August 18, 2025
  • Afisa elimu mkoa wa Dodoma akagua maandalizi ya Juma la elimu ya watu wazima

    August 17, 2025
  • Wafanyabiashara wa mkoa wa Dodoma watangaziwa fursa za biashara nchini indonesia

    August 16, 2025
  • Wafugaji waaswa kufuga kwa kuzingatia uwezo wa malisho ili kupata tija

    August 15, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.