• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mavunde awapa 'truck suit' 100 UMISSETA Dodoma

Imewekwa tarehe: June 4th, 2021

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

TIMU ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma inayoshiriki mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa shule za Sekondari (UMISSETA) imepewa zawadi ya ‘tracksuit’ 100 na kutakiwa kulinda heshima ya jiji hilo kwenye mashindano hayo.

Zawadi hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini, Anthony Mavunde katika hafla fupi ya kuwakabidhi ‘tracksuit’ hizo iliyofanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari ya Dodoma leo mchana.

Mbunge Mavunde amesema kuwa timu ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma inayoshiriki mashindano ya UMISSETA ihakikishe inalinda heshima ya jiji hilo kwa kufanya vizuri katika michezo hiyo. “Leo nimekuja kuwapatia zawadi ya “tracksuit” 100 kwa ajili ya kuleta hamasa kwenu. Nitaendelea kutoa “tracksuit” nyingine mpya kila mwaka. Nitahakikisha ninawasimamia vizuri, nahitaji kuona vipaji vinakuwa na kulindwa. Michezo inaajiri watu wengi. Wananchichezo wengi wanapata mishahara mikubwa kuliko mawaziri na wakurugenzi” amesema Mbunge Mavunde.

Awali, Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari, Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwalimu Upendo Rwenyemamu alimtaarifu mbunge huyo kuwa timu ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma inayoshiriki mashindano ya UMISSETA ngazi ya wilaya inaendelea na mazoezi. Amesema kuwa timu hiyo inatarajia kuchuana na timu za wilaya nyingine ili kuunda timu itakayouwakilisha Mkoa wa Dodoma katika michezo ya UMISSETA ngazi ya Taifa.

Aidha, alimpongeza mbunge huyo kwa utayari wake katika kuendeleza sekta ya elimu jijini hapo. “Mheshimiwa Mbunge tunayofuraha kuwa nawe hapa.  Tunakushukuru kwa utayari wako wa kutuunga mkono si katika michezo pekee, bali katika elimu kwa ujumla. Mchango wako ni mkubwa katika kukuza taaluma Jiji la Dodoma” amesema Mwalimu Rweyemamu.

Kwa upande wake mshiriki wa michezo ya UMISSETA jiji la Dodoma, Rehema Zahoro amesema kuwa matarajio ya timu yao ni kuleta makombe mengi.

Michezo ya UMITASHUMTA na UMISSETA mwaka 2021 inaongozwa na kaulimbiu isemayo “Michezo, Sanaa na taaluma kwa maendeleo ya viwanda”.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.