• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mhe. Chibago achaguliwa kuwa Naibu Meya wa Jiji

Imewekwa tarehe: August 7th, 2019

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma, limemchagua Emmanuel Chibago kuwa Naibu Meya baada ya kumshinda Said Kitegile katika uchaguzi uliofanyika mapema wiki hii.

Akitangaza matokeo hayo katika mkutano wa mwaka wa Baraza la Madiwani, msimamizi wa uchaguzi huo, Godwin Kunambi alisema kuwa Emmanuel Chibago (CCM) ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Matumbulu alipata kura 52 kati ya kura 57 zilizopigwa. Mpinzani wake Said Kitegile (CHADEMA) ambaye ni Diwani wa Kata ya Madukani alipata kura 5 kati ya kura 57 zilizopigwa.

Akitoa shukrani zake kwa wajumbe, Naibu Meya Chibago alisema kuwa atakapokwenda kinyume yupo tayari kukosolewa. “Shukrani kwa imani mliyonipa na kura mlizonipigia. Naomba ushirikiano wenu” alisema Chibago. Mhe. Chibago alimuomba Mhe. Jumanne Ngede kuwa tayari kumpa ushirikiano kutokana na uzoefu wake katika nafasi hiyo ambayo ameitumikia kwa vipindi vinne (miaka 4) tangu kumalizika kwa uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika mwaka 2015. 

Kwa upande wake, Said Kitegile alisema kuwa ameyapokea matokeo hayo na kumpongeza kwa dhati Diwani Mheshimiwa Chibago.

Katika nafasi za wenyeviti wa kamati, Mhe. David Bochela, Diwani wa Kata ya Mkonze kwa mara nyingine alichaguliwa tena kuwa mwenyekiti wa kamati ya Mipango Miji na Mazingira kwa kupata kura 16. Kamati ya Uchumi, Elimu na Afya, mwenyekiti alichaguliwa Mhe. Daud Mkhandi ambaye ni Diwani wa Kata ya Nkuhungu kwa kupata kura 17.

Naye Naibu Meya aliyemaliza muda wake Mheshimiwa Jumanne Ngede aliwashukuru wajumbe wa Baraza kwa ushirikiano waliompa katika kipindi chote alichotumikia kama Naibu Meya wa Jiji. Aidha, alimpongea Naibu Meya mpya Mhe. Emmanuel Chibago na kumuahidi ushirikiano wakati wote.

Msimamizi wa uchaguzi huo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi alisema kuwa yaliyopita yamepita, mtazamo uwe kutoa huduma kwa wananchi. “Kamati hizi zinaenda kuwa na sura mpya ili kuwa na lengo la pamoja. Tafuteni kwanza ufalme wa mbingu na mengine mtazidishiwa. Kwentu Dodoma 'ufalme wa Mungu' ni kutoa huduma bora kwa wananchi” alisema Kunambi.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.