• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mhe. Mavunde akabidhi tani 29 za saruji kukuza elimu Dodoma Jiji

Imewekwa tarehe: April 21st, 2021

MBUNGE wa Jimbo la Dodoma mjini Mhe. Anthony Mavunde (mwenye kaunda suti pichani kulia) leo tarehe 21 Aprili, 2021 amekabidhi saruji tani 29 kwa Afisa Elimu Msingi na Afisa Elimu Sekondari ili kusaidia ujenzi wa madarasa na matundu ya vyoo kwa shule za msingi na sekondari za Jiji la Dodoma.

Mbunge Mavunde amekabidhi saruji hiyo yenye thamani ya shiling 10,000,000 na kuwataka walimu wakuu na viongozi wa kata husika kusimamia matumizi yake ili kufikia lengo lililokusudiwa.

“Mchango wangu huu ni kwa lengo la kuboresha sekta ya elimu na hasa katika ujenzi wa madarasa na matundu vya vyoo sambamba na kuunga mkono jitihada za wananchi za ujenzi wa shule mpya za msingi na sekondari, hivyo lazima ninyi viongozi msimamie matumizi sahihi ya saruji hii”,

Nitaendelea kuchangia kwenye sekta hii ya elimu ili kuwafanya wanafunzi wa Dodoma Jiji wasome katika mazingira ambayo ni Rafiki, lakini pia tunaishukuru Serikali kupitia TEA kwa ktupatia shilingi Bilioni 1.9 za ujenzi wa madarasa na majengo ya utawala kwa shule 5 za msingi” amesema Mheshimiwa Mavunde.

Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari wa Jiji la Dodoma, Mwalimu Upendo Rweyemamu amezitaja shule zitakazonufaika na msaada huo kwa upande wa shule za sekondari kuwa ni Mlimwa, Kiwanja cha ndege na shule mpya ya Mkoyo. Kwa upande wa shule za msingi zitakazonufaika, Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi Mwalimu Joseph Mabeyo amezitaja kuwa ni shule ya msingi Chinangali na shule mpya za  Muungano na Nh'oye.

Nao Madiwani Assedi Ndajilo wa Hombolo Bwawani na Charles Ngh’ambi wa Mbalawala kwa niaba ya wananchi, wamemshukuru Mhe. Mavunde kwa namna anavyochangia maendeleo ya sekta ya elimu kwa kusaidia kuweka mazingira mazuri ya wanafunzi kusoma na wametumia fursa hiyo kuahidi kusimamia vyema matumizi ya saruji hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji, Afisa Elimu Msingi wa Jiji la Dodoma, Joseph Mabeyo amemshukuru Mhe. Mavunde kwa mchango wake mkubwa kwenye sekta ya elimu kwa namna ambavyo amekuwa akishirikiana na Idara za Elimu Msingi na Sekondari wa Jiji la Dodoma kutatua changamoto mbalimbali zinazoikumba sekta ya elimu katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde (mwenye Kaunda suti) akijadiliana jambo na Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari, Mwalimu Upendo Rweyemamu (kushoto) na Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi, Mwalimu Joseph Mabeyo (kulia) mara baada ya kuwakabidhi tani 29 za saruji.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma atoa pongezi kwa Madiwani

    May 25, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Mkopo wa 10% tija kwa maendeleo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu

    May 23, 2025
  • Wananchi Kata ya Madukani washukuru kuboreshwa huduma za Afya, Zahanati ya Chikande

    May 21, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.