• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mhe. Mavunde atoa pole kwa waathirika wa mvua Msalato

Imewekwa tarehe: January 18th, 2020

MBUNGE wa Jimboa la Dodoma mjini Mhe.  Anthony Mavunde ametembelea wananchi wa kata ya Msalato ili kuwapa pole na kuwajulia hali kufuatia athari zilizosababishwa na mvua kubwa iliyoambatana na upepo. Nyumba kadhaa zimebomoka na nyingine kuezuliwa mapaa kutokana na upepo mkali.

Baada ya kutembelea maeneo yote yaliyoathiriwa na kuwapa pole wananchi waliopata athari, Mbunge  Mhe. Mavunde alitoa msaada wa bati 160 zenye thamani ya Tsh 3,200,000 na Kilo 100 za unga wa sembe.

"Nachukua fursa hii kuwapa pole sana wananchi wote kwa adha hii kubwa iliyopata,nipo hapa kutoa mkono wa pole ili kuwasaidia kurudi ktika hali yenu ya kawaida ya maisha ya kila siku na sasa niwaombe tuchukue tahadhari

Kwa kuwa mvua za sasa hivi kubwa mno hivyo tujitahidi kuwa na tahadhari kubwa"Alisema Mavunde

Akifafanua, Diwani wa Kata ya Msalato Mhe. Ally Mohamed ameeleza kwamba mvua hiyo iliyoambatana na upepo mkali imesababisha kuezuliwa kwa mapaa ya kaya 18, nyumba 4 kubomoka na madarasa 3 ya Shule ya Msingi Msalato kuezuliwa paa.

Baadhi ya Wananchi walioathirika na kupata nafasi ya kuongea mwandishi wetu wamemshukuru Mbunge wao Mhe. Mavunde kwa namna alivyowajali na kuwakimbilia wakati wa matatizo hayo na kuwapa faraja kwa kuwa hatua hiyo imewapa matumaini na faraja na sasa wanaweza kutengeneza na kuzirudisha nyumba zao katika hali ya kawaida wao kuweza kuishi vizuri.

Tazama picha za matukio mbalimbali:

Mheshimiwa Anthony Mavunde (wa pili kutoka kulia) akimsikiliza mmoja wa waathirika wa mvua zilizoambatana na upepo na kusababisha baadhi ya nyumba kuezuliwa mapaa na zingine kubomoka katika kata ya Msalato. Mhe. Mavunde aliambatana na Diwani wa kata ya Msalato Mhe. Ally Mohamed (wa pili kutoka kulia).





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.