• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mbunge Mavunde awang’arisha madereva teksi Uwanja wa Ndege Dodoma

Imewekwa tarehe: May 5th, 2021

MBUNGE wa Jimbo la Dodoma mjini Mhe. Anthony Mavunde leo amekabidhi sare maalum kwa kituo cha madereva teksi wa Uwanja wa Ndege Dodoma ikiwa ni sehemu ya kuboresha hudum ya usafirishaji Jijini Dodoma.

Mhe. Mavunde amekabidhi sare hizo kwa madereva teksi 30 zenye thamani ya shilingi 1,500,000 shughuli iliyofanyika katika eneo la Uwanja wa Ndege lengo ikiwa ni kuwafanya madereva hao kuwa nadhifu na kuwatambulisha kwa urahisi kwa wageni waingiao Dodoma kupitia Kiwanja hicho cha Ndege.

“Kwa kuwa ninyi mnapokea wageni kutoka maeneo mengi tofauti nchini na duniani, ni vema mkawa na utambulisho mzuri kupitia sare hizi na pia kuwa nadhifu muda wote ili wageni waingiao wapate sura halisi Jiji la Dodoma kupitia ninyi”,

Dodoma sasa ni Makao Makuu ya nchi, yatupasa kuboresha huduma hizi za usafiri kwa kuonesha utofauti na maeneo mengine kwa kuanzia kwenye unadhifu wa mavazi mpaka ukarimu kwa wageni wetu,

Baada ya kumaliza suala hili la sare, najiandaa kuratibu semina kwa ajili ya mafunzo ya ukarimu kwa watoa huduma mbalimbali katika Jiji la Dodoma mkiwemo nyingi wa sekta ya usafirishaji, lengo langu ni kuona huduma mbalimbali Jijini Dodoma zinaenda na kasi ya ukuaji wa Jiji na shughuli mbalimbali za kiuchumi na kijamii” amesema Mbunge Mavunde.

 Naye Mwenyekiti wa Chama cha Madereva Teksi wa Uwanja wa Ndege Dodoma, Lotson Mushobozi Nkongo kwa niaba ya madereva teksi wenzake, amemshukuru Mbunge Mhe. Mavunde kwa kuwajali watoa huduma ya usafiri katika kituo cha Uwanja wa Ndege kwa kuwapa sare nadhifu ambazo zitawatambulisha vyema kwa wageni na kuahidi kuitangaza vyema Dodoma na kutoa huduma bora kwa uaminifu na uadilifu mkubwa ili kulinda sifa ya Makao Makuu ya Nchi Dodoma.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.