• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mavunde awasha umeme zahanati ya Nkulabi

Imewekwa tarehe: July 2nd, 2020

Mbunge wa Dodoma Mjini mhe. Anthony Mavunde ametimiza ahadi yake ya kufikisha nishati ya umeme katika Zahanati ya Nkulabi Kata ya Mpunguzi na hivyo kusaidia upatikanaji wa huduma ya afya kwa saa 24 katika zahanati hiyo.

Mavunde amefanikisha upatikanaji wa nguzo saba za umeme zenye gharama ya shilingi 9,698,876 na malipo ya kuunganishiwa umeme zahanati hapo, jambo  ambalo limepokelewa kwa furaha kubwa sana na wananchi wa eneo hilo la Nkulabi Kata ya Mpunguzi.

"Leo (23 Juni, 2020) ni siku ya kihistoria katika utoaji wa huduma za afya  katka kata yetu, kuanzia leo tutashuhudia upatikanaji  wa huduma za afya mpaka usiku tofauti na zamani ambapo mlikuwa mnapata taabu kupata huduma ifikapo usiku.

Niwaombe wahudumu wote wa afya kuendelea kutoa huduma  kwa wananchi kwa ufanisi na maadili mema kwa muda wote na kwasasa kwakuwa mna umeme natarajia kuona uboreshwaji mkubwa sana wa huduma hii muhimu kwa wananchi,"  alisema Mavunde.

Akishukuru kwa niaba ya wananchi waliojitokeza katika viwanja  hivyoa vya zahanati, Mzee Steven Myeya amemshukuru Mheshimiwa Mavunde kwa kazi kubwa aliyoifanya kwenye sekta ya afya kwa kufanikisha umeme ambao utawafanya sasa wapate huduma ya uhakika kwa  muda wote.

Wakati huo huo, Chama Cha Mapinduzi  Kata ya Mpunguzi kimemshukuru Mhe. Mavunde kwa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM katika utatuzi wa kero za wananchi na kwa hatua yake ya kuamua kutoa saruji mifuko 50, mbao na mabati  100 ili kukamilisha ujenzi wa Kituo cha Polisi na pia  kukubali kuanzisha mchakato wa ujenzi wa Shule ya Sekondari katika  eneo la Nkulabi.

Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe. Anthony Mavunde akiwa pamoja na watumishi, viongozi na wananchi wa Nkulabi wakifurahia umeme ambao umeanza kutumia katika Zahanati ya Nkubali katika Kata ya Mpunguzi Jijini Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.