• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mhe.Silinde ashiriki Kongamano la Vijana na Wanawake

Imewekwa tarehe: August 4th, 2024

NAIBU Waziri wa Kilimo, Mhe. David silinde (Mb), ameshiriki katika Kongamano la Vijana na Wanawake kwenye Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nane Nane 2024 katika Viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma .

“Wito wangu kwa vijana, wanawake na wananchi mliofanikiwa kuona bunifu, huduma, teknolojia mbalimbali zilizooneshwa katika maonesho haya mkatumie elimu na maarifa mliyoyapata kwa lengo la kujiletea mapinduzi halisi katika kuongeza tija, uzalishaji na ubora wa mazao yetu ya kilimo,” ameeleza Mhe. Silinde.

Pia Mhe. Silinde amesema Serikali ya Awamu ya Sita imefanya juhudi mbalimbali zenye malengo ya kuendeleza Sekta ya Kilimo ikiwa ni ni pamoja na kuongeza ajira kwa vijana kupitia Programu ya Jenga Kesho iliyo Bora (Building a Better Tommorow -BBT) ambayo inatekelezwa nchi nzima kwa lengo la kuwavutia vijana na kuwawezesha kupata ardhi yenye miundombinu ya umwagiliaji pamoja na mikopo ya riba nafuu na kuwaunganisha na masoko.

Kutokana na juhudi hizo Mhe. Silinde amesema Sekta ya Kilimo katika mwaka 2023 ilikua kwa asilimia 4.2 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 3.3 mwaka 2022. Vilevile, Sekta ya Kilimo imechangia asilimia 26.5 katika Pato la Taifa ikilinganishwa na asilimia 26.2 mwaka 2022, imetoa ajira kwa wananchi kwa wastani wa asilimia 65.6 na kuchangia asilimia 65 ya malighafi za viwanda.

Vilevile Mhe. Silinde amebainisha kuwa Sekta ya Kilimo kwa upande wa mazao ilikua kwa asilimia 4.2 mwaka 2023 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 2.7 mwaka 2022; imechangia asilimia 16.1 kwenye Pato la Taifa ikilinganishwa na asilimia 15 mwaka 2022; na imeendelea kuchangia asilimia 100 ya upatikanaji wa chakula.

Miradi mbalimbali imebuniwa kwa vijana ikiwemo uchimbaji wa visima, uwekaji wa miundombinu ya umwagiliaji, uwezeshaji wa mikopo nafuu yenye riba isiyozidi asilimia 4.5 kupitia Mfuko wa Pembejeo za Kilimo (Agricultural Input Trust Fund - AGITF) ambapo katika mwaka 2023/2024 mikopo yenye thamani ya Shilingi Milioni 950 imetolewa kwa vijana na wanawake; na kuhamasisha vijana kutoa huduma za ugani BBT Agricultural Extension kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA).

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.