• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Miaka 59 ya Muungano Kata ya Majengo wafanya usafi wa mazingira

Imewekwa tarehe: April 26th, 2023

Na. Dennis Gondwe, Majengo- DODOMA

WAFANYABIASHARA wa Soko kuu la Majengo katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma wametakiwa kushirikiana kufanya usafi wa mazingira ili kuweka safi mazingira yao na kuepukana na magonjwa ya mlipuko.

Rai hiyo ilitolewa na mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Odilia Kotta alipoongoza mamia ya wafanyabiashara na wakazi wa Kata ya Majengo kuadhimisha miaka 59 ya Muungano kwa kufanya usafi katika Soko kuu la Majengo jijini hapa.

Kotta alisema kuwa dhamira ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma ni kuhakikisha usafi wa mazingira ni kipaumbele katika kata zote. “Wito wangu, sisi wafanyabiashara na wananchi wa Kata ya Majengo ni sehemu ya wakazi wa Jiji la Dodoma. Lazima tuhakikishe kuwa agenda ya usafi ni sehemu ya utaratibu wetu. Tushirikiane pamoja kuliweka soko letu safi ili kuboresha mazingira, hali ya hewa na kuepuka magonjwa ya mlipuko” alisema Kotta.

Kotta ambae pia ni Afisa Mtendaji   wa Kata ya Majengo alifurahia muitikio wa wananchi katika zoezi hilo la usafi. “Tupo hapa leo tarehe 26 Aprili, 2023 kwa ajili ya kuadhimisha miaka 59 ya Muungano kwa kufanya usafi wa mazingira katika Soko kuu la Majengo. Watu wamejitokeza wengi kufanya usafi na wamejituma kwa moyo na tumefanya usafi wa mazingira yote ya soko” alisema Kotta.

Kwa upande mwananchi aliyeshiriki kufanya usafi katika maadhimisho hayo, Subira Matonya alisema kuwa suala la usafi wa mazingira linatakiwa kuwa tabia ya wananchi wote. Alisema kuwa Muungano ni miongoni mwa tunu za Taifa, uendelee kulindwa na kudumishwa.

Halmashauri ya Jiji Dodoma imeadhimisha maadhimisho ya miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar chini ya kaulimbiu isemayo “Miaka 59 ya Muungano: Umoja na Mshikamano ndiyo nguzo ya kukuza uchumi wetu” kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.