• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Miradi ya Mapato ya ndani yaanza kutoa matunda

Imewekwa tarehe: March 23rd, 2023

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

MIRADI ya maendeleo inayotekelezwa kwa mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeanza kutoa matunda kwa jiji hilo na kuchangia katika utoaji huduma bora kwa wananchi.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Divisheni ya Mipango na Uratibu wa Halmasahuri ya Jiji la Dodoma, Francis Kaunda alipokuwa akiongelea mafanikio ya miradi ya maendeleo kwa kipindi cha miaka miwili ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Sulihu Hassan.Kaunda alisema kuwa Halmashauri ya Jiji la Dodoma imetekeleza miradi mingi ya maendeleo kwa mapato ya ndani ya halmashauri.

Mradi wa ujenzi wa hoteli ya Jiji la Dodoma (Dodoma CityHotel) umegharimu shilingi 11,945,995,952.50 ambazo ni mapato ya ndani ya halmashauri. Jengo hilo lina ghorofa11, ikijumuisha vyumba 95 vya kulala, kumbi tatu za mikutano, mgahawa na bwawa la kuogelea katika ghorofa ya mwisho. Mradi unaingizia Halmashauri kiasi cha shilingi 600,000,000 kwa mwaka alisema Kaunda.

Akiongelea mradi wa jengo la kitega uchumi cha Jiji laDodoma (Government City Complex - Mtumba) alisema kuwa mradi huo umegharimu kiasi cha shilingi18,875,665,009.83.

Jengo la Hoteli lina ghorofa sita pamoja na maeneo ya maduka na sehemu ya kutolea huduma za fedha. Mradiuna kumbi za mikutano saba. Ukumbi mmoja mkubwa wenye uwezo wa kuchukua watu 1,000 na kumbi ndogo sita zenye uwezo wa kuchukua watu 80 hadi 100 kila moja.

Hadi sasa mradi umeingiza shilingi 432,628,048. Akifafanua kuhusu mapato yatokanayo na miradi hiyo ya maendeleo, alisema kuwa fedha hizo zinakwenda kuboresha huduma za kijamii katika jiji hilo.

Mradi huo unategemea kuiingizia Halmashauri kiasi cha shilingi1,999,128,048.00 kwa mwaka.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.