• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Miundombinu chachu ya ongezeko la uandikishwaji wa wanafunzi wa Awali na Msingi

Imewekwa tarehe: April 7th, 2024

UBORESHAJI wa Miundombinu ya elimu unaoendelea kufanywa na Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan umekuwa chachu ya ongezeko la uandikishwaji wa wanafunzi wa darasa la kwanza na awali Jiji la Dodoma kutoka asilimia 98 hadi 115 kwa mwaka 2024.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwl. Prisca Myalla alipokuwa akiongelea mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita kwa miaka mitatu ofisini kwake.

“Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi Jiji la Dodoma tunampongeza sana Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha miundombinu ya elimu na kutujengea shule mpya kupitia mradi wa BOOST na EP4R, Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeweza kujengewa madarasa mapya na kuboreshewa miundombinu hali iliyopelekea wazazi na jamii kuona fursa ya kuwaleta watoto wao kupata elimu. Serikali imejitahidi sana kuhakikisha inasogeza huduma ya shule katika maeneo ya wananchi, sasa hivi kwenye kata nyingi watoto wanapata elimu karibu na maeneo wanayoishi ile dhana yakutomuandikisha mtoto shule kutokana na umbali imeisha na shule nyingi zilizokuwepo zimeboreshwa hivyo, kutengeneza mazingira rafiki ya kujifunza.

Akiongelea mafanikio ya Elimu katika kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya awamu ya sita Mwl. Myalla alisema kuwa Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi Jiji la Dodoma inajivunia ongezeko la ufaulu wa wanafunzi wa Darasa la Saba kutoka asilimia 82.2 kwa mwaka 2021 hadi asilimia 93.18 kwa mwaka 2024

Ongezeko la miundombinu ya elimu limeenda sambamba na ufaulu wa wanafunzi wanaohitimu darasa la saba, Halmashauri kwa sasa ufaulu umeongezeka hadi kufikia asilimia 93.18. Hii ni kutokana na wanafunzi kusoma katika mazingira mazuri na tulivu, ukilinganisha na miaka iliyopita. Pia serikali imeongeza vifaa vya kufundishia sasa hivi kila mwalimu anatumia vifaa vya TEHAMA hivyo, kuwafanya walimu na wanafunzi kwenda na mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia.

Kwa upande wake Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi Dodoma English Medium, Evodius Kanizio aliishukuru serikali kwa kutoa fedha kiasi cha shilingi milioni 458 kwaajili ya ujenzi wa shule mpya ya Mtaala wa kingereza jijini Dodoma. “Shule yetu ni shule ya  mchepuo wa  kingereza inayomilikiwa na serikali imeanza  rasmi mwaka 2024, kwa sasa tuna jumla ya watoto 267 kuanzia darasa la awali hadi darasa la tatu. Ujenzi wa shule hii umegharimu kiasi cha shilingi milioni 458 ambazo kati ya hizo milioni 400,000,000/= zimetolewa na Serikali kuu na Milioni 58,000,000/= zimetolewa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kupitia mapato yake ya ndani. Tunamshukuru sana Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa nafasi hii ya kutoa elimu bora kwa mtaala wa Kingereza kwa watazania. Hapo awali hatukuwa na shule za mtaala wa kingereza, tulizoea kujenga shule za mtaala wa Kiswahili ila kwa maono ya Rais wetu akaona tunaweza toa elimu bora ya Kingereza kama shule nyingine za binafsi. Shule ambazo zitawafikia wananchi wa   kipato cha kati ambao hawawei kumudu gharama za shule binafsi kupata elimu kwa gharama nafuu” alisema Kanizio.

Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi Jiji la Dodoma ina jumla ya  shule 176 ambazo kati ya hizo 104 ni za Serikali na 72 ni za watu binafsi, ina wanafunzi 138,679 pia ina idadi ya walimu 1862.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.