• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Miyuji yatekeleza mradi wa Ujenzi

Imewekwa tarehe: October 25th, 2022

SHULE ya sekondari Miyuji inatekeleza mradi wa ujenzi wa madarasa mawili, ofisi moja ya walimu pamoja na kununua samani mradi ambao utasaidia kuongeza miundombinu ya kufundishia, kuondoa adha ya viti na meza, kuongeza idadi ya wanafunzi wapya pamoja na ufaulu kwasababu wanafunzi watakuwa wakisoma na kukaa kwa nafasi.

Hayo yalisemwa na Katibu wa kamati ya usimamizi na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa madarasa mawili, ofisi moja ya walimu na ununuzi wa samani Mwalimu Rashid Abdallah alipokuwa akikagua maendeleo ya mradi huo unaotekelezwa katika shule ya sekondari Miyuji iliyopo kata ya Mnadani, Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Rashid alisema kuwa shule yake ilipokea shilingi 40,000,000/= kutoka serikali kuu tarehe 2/10/2022 kwa lengo la ujenzi wa madarasa mawili, ofisi moja ya walimu  pamoja na ununuzi wa viti na meza kwaaajili ya wanafunzi. “Baada ya kupokea fedha hizi tulifanya mchakato wa kumpata fundi ambapo tulitoa tangazo kwaajili ya kuwapata wazabuni na walijitokeza watatu ambao ni Jabir Athuman, Mark Victor pamoja na Mhidin Isack lakini kulingana na vigezo na masharti tuliyoweka kama kamati kwaajili ya kumpata fundi basi alipitishwa mtu mmoja ambaye ni Mhidin Isack. ikiwa ujenzi huo ulianza mnamo tarehe 13/10/2022  baada ya iliundwa kamati  ya watu 15 na iligawanyika sehemu tatu ikiwa ni kamati ya mapokezi, manunuzi pamoja na usimamizi na utekelezaji kwa lengo lengo la kurahisisha majukumu.

“Kwa sasa ujenzi unaendelea na  kuta zishapandishwa na leo tunatarajia kuingia katika  hatua ya kuweka lenta (bimu), na mradi wetu umefikia asilimia 60% ya utekelezaji wake na mradi huu unatarajia kukamilika ifikapo tarehe 15/11/2022 ndipo utakapokabidhiwa,” alisema Abdalllah.

Ikumbukwe kuwa shule ya sekondari Miyuji ilianza tarehe 2/5/2006 ikiwa na wanafunzi 80, walimu wawili na vyumba vitatu vya madarasa, kwa sasa  shule ina jumla ya vyumba 33 vya madarasa kati ya hivyo vinne vinatumika kama ofisi za walimu na maabara, wanafunzi wapo 1295 ikiwa wasichana 724 na wavulana 571 na jumla ya walimu 62, walimu wa sayansi na hisabati 12, sanaa 39 na biashara 04 na fundi sanifu wa maabala 01.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.