• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mkataba wa awali Mradi wa kuchakata, kusindika gesi asilia watiwa saini Dodoma

Imewekwa tarehe: June 11th, 2022

SERIKALI ya Tanzania imeingia makubaliano ya awali na kampuni kubwa za uchimbaji mafutaduniani zikiwemo Equinor na Shell kwa ajili ya utekelezaji wa ujenzi wa mradiwa uchakataji na usimikaji gesi asilia wenye thamani ya Dola za MarekaniBilioni 30 sawa na Shilingi Trilioni 70. 

Makubaliano hayo ya awaliya mkataba wa nchi hodhi (HGA) yamefikiwa ikiwa ni zaidi ya miezi sita tanguSerikali irejee tena majadiliano na wawekezaji hao Novemba mwaka jana baada yaRais Samia Suluhu Hassan kueleza kuwa anataka kuona mradi huo ukiendelea kwamanufaa ya Watanzania na wawekezaji. 

Katika hafla iliyofanyikaIkulu jijini Dodoma Juni 11, 2022, kampuni hizo mbili zimeingia makubalianohayo na Serikali kwa niaba ya wawekezaji wengine katika mradi huo ambao niOphir Energy, Exxon Mobil na Pavilion Energy. 

Waziri wa Nishati JanuaryMakamba amesema hatua iliyofikiwa ni muhimu katika utekelezaji wa mradi huo wakuchakata na kusindika gesi asilia utakaojengwa mkoani Lindi ikiwemo hatua yauamuzi wa mwisho wa kiuwekezaji (FID) mwaka 2025. 

“Mazungumzo hayakuwamapesi sana...kuna nyakati mambo yalitaka kuvunjika lakini ndiyo katikakuelekea kujenga...baadhi ya mambo yanayotakiwa yafanywe mbele yapo kwenye HGAhii,” amesema Makamba aliyeanza kuingoza wizara hiyo Septemba 2022. 

Hatua ya kusaini mkatabahuo uliosainiwa na Wizara ya Nishati pamoja na Shirika la Maendeleo ya Petroli(TPDC) pamoja na wawekezaji hao inatoa mwelekeo wa kutekeleza mradi huo ambaomazungumzo yake yalikuwa yamekwama kwa muda mrefu sasa. 

RaisSamia amesema pamoja na kusaini mkataba huo wa makubaliano ya awali bado kunasafari ndefu kufikia uamuzi wa mwisho wa kiuwekezaji (FID) mwaka 2025 hivyowote wanaohusika katika jambo hilo waongeze kasi ya majadiliano. 

Rais Samia amesema nchizote zenye rasilimali za gesi zimepata mafanikio ya kiuchumi na ni mategemeoyake kuwa Tanzania nayo itapata maendeleo na ustawi wa watu wake kupitiarasilimali zake. 

“Natumaini kuwa kanuni zakimataifa zitazingatia masuala haya katika majadiliano yanayoendelea ilikuhakikisha Tanzania inaingia vyema kwenye ramani ya dunia ya wazalishaji gesina mazao ya gesi,” amesema Rais Samia. 

Mradi huo unatarajia kutoaajira 10,000 wakati wa ujenzi wake ambapo zitapungua hadi 500 utakapoanzakufanya kazi huku ukitajwa kuwa na manufaa makubwa kiuchumi kwa sababuutaongeza uhakika wa nishati na kuipatia nchi fedha za kigeni. 

Wawekezaji hao wamesemawanaamini kuwa mradi huo utatekelezwa kutokana na hatua iliyopigwa hadi kufikiakusaini makubaliano ya awali hasa kipindi hiki ambacho mahitaji ya gesi asiliayamezidi kuongezeka duniani kutokana na ongezeko la watu na mahitaji ya nishatisafi. 

Makamu wa Rais wa kampuniya Shell Tanzania, Jared Kuehl amesema gesi ya Tanzania itaweza kupata soko kwasababu ina hewa ukaa kidogo na ipo karibu na soko kubwa la gesi la Asia. 

“Gesi asilia kutokaTanzania itaweza kufanikisha upatikanaji wa nishati safi isiyo na hewa ukaanyingi...huu ni wakati muafaka kutekeleza mradi huu na kuhakikisha kuwaunafanikiwa kulifikia soko kutimiza mahitaji ya sasa ya gesi,” amesema Kuehlambaye pia ni Mwenyekiti wa bodi ya kampuni hiyo. 

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.