• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

M’kiti Nzasa aongoza wananchi kuchanja UVIKO-19

Imewekwa tarehe: October 11th, 2021

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

MWENYEKITI wa Mtaa wa Nzasa katika Kata ya Chihanga, Patrick Chanzi (anayechomwa chanjo pichani) ameongoza wananchi wake kupata chanjo ya ugonjwa wa virusi vya Korona (UVIKO-19) baada ya kupata elimu sahihi juu ya chanjo hiyo.

Chanzi alisema kuwa elimu juu ya chanjo ya UVIKO-19 ni muhimu sana kwa sababu ugonjwa huo unaua na kuacha madhara makubwa katika jamii. “Mimi mwenyewe sikuwa na uelewa kabisa kuhusu chanjo hii. Ila baada ya wataalam kutoka Halmashauri ya Jiji la Dodoma kutoa elimu hapa, nimeelewa na kuchanja. Nimefanikiwa kuwaita wananchi wangu nao kupata elimu hiyo na nimeongoza zoezi la uchanjaji mbele yao na wao kufuata kwa kuchanja. Niwaombe sana wananchi wa Nzasa kujitokeza na kuchanja kwa hiari” alisema Chanzi.

Akitoa elimu juu ya umuhimu wa chanjo ya UVIKO-19, Afisa Afya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Abdallah Mahia alisema kuwa chanjo hiyo ni salama. Alisema kuwa awali serikali ilisita kuruhusu chanjo hiyo kutolewa nchini kwa sababu ilikuwa haijaifanyia utafiti na kujiridhisha juu ya usalama wake. “Ndugu zangu, chanjo hii ni salama. Serikali imefanya utafiti kupitia mamlaka zake na kujiridhisha kuwa ni salama ndiyo ikaruhudu ianze kutumika nchini” alisema Mahia.

Chanjo hii ni muhimu kwa sababu inasaidia kuepusha maambuzi ya virusi ya Korona na vifo kwa asilimia kubwa. Alisema kuwa pamoja na wananchi kujitokeza na kuchanja bado taratibu nyingine za kuchukua tahadhari zinatakiwa kufuatwa za kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka na kuvaa barakoa sehemu zenye mikusanyiko.

Afisa Afya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Abdallah Mahia akitoa elimu kuhusu chanjo ya UVIKO-19 kwa wananchi wa Mtaa wa Nzasa katika Kata ya Chihanga Jijini Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.