• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

M'kiti wa CCM (W) apongeza ubora na kasi ya ujenzi wa miradi Jiji

Imewekwa tarehe: February 5th, 2020

Kamati ya siasa Wilaya ya Dodoma imefanya ziara kutembelea miradi ya afya na elimu  pamoja na ujenzi wa hoteli itakayomilikiwa na Jiji la Dodoma na kuimwagia sifa ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji  la Dodoma kwa kusimamia na kutekeleza miradi hiyo ambayo kwa asilimia kubwa imetokana na mapato ya ndani.

Akizungumza wakati wa kufanya majumuisho ya ziara hiyo Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Dodoma, Elirehema Nassari amepongeza ubora na kasi ya ujenzi wa miradi hiyo ambayo ni shule, zahanati na hoteli huku akisema watanzania wamezoea kuona malumalu zikiwekwa kwenye shule za watu binafsi lakini kwa Jiji la Dodoma wanashuhudia malumalu zikiwekwa katika shule za umma.

Nassari ameongeza kuwa Jiji la Dodoma limekua ni jiji la kimkakati na mapato yake yamekua hayatokani na vyanzo vya kimazoea, mfano soko na maeneo ya kuegesha magari kama ilivyo kwa Halmashauri nyingine walizowahi kutembelea.

“Jiji la Dodoma mnajenga hoteli kubwa itakayoitwa Dodoma city Hoteli, mnajenga eneo la kupaki malori kule Nala, mnajenga maeneo mengi ya kimkakati ambayo kazi yake kubwa ni kuongeza mapato. Mmetuambia baada ya mradi huu kukamilika mwezi wa nane mnatarajia kuvuna zaidi ya bilioni tatu ambayo itakua ni faida kwa wananchi wa Jiji la Dodoma. Hivyo nitoe pongezi sana kwa Mkurugenzi pamoja na Mshahiki Meya wa Jiji la Dodoma kwa kazi kubwa ambayo mnaifanya” alisema Nassari.

Akiongelea kuhusu changamoto ya madarasa katika Jiji hilo, Mchumi wa Jiji la Dodoma, Shabani Juma amesema kuwa Jiji limejipanga kuhakikisha linatatua kero ya madarasa.  “Tayari kuna madarasa zaidi ya 150 ambayo yamekwishajengwa huku ujenzi wa madarasa mengine ukiendelea kwa fedha za mapato ya ndani” alisema Juma.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.