• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

MKOA WA DODOMA KUKUZA PATO LA MWANANCHI KUPITIA MIRADI MIKUBWA YA MAENDELEO

Imewekwa tarehe: September 24th, 2025

Na. Hellen M. Minja

Habari – DODOMA RS


Mkoa wa Dodoma unatarajia kukua kiuchumi kutokana na dhamira ya Serikali ya awamu ya sita kuwekeza katika Mkoa huu miradi ambayo italeta mabadiliko makubwa kwenye sekta ya uchumi yatakayoleta chachu ya ukuaji wa Pato la mtu mmoja mmoja ndani ya Mkoa.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ameyasema hayo Septemba 24, 2025 alipokua akifungua kikao chake na Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) kilichofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi yake Jijini Dodoma kikijumuisha mawasilisho ya mada mbalimbali.

“Dhamira ya Serikali kuwekeza Dodoma ni kubwa sana na miradi itakayotekelezwa italeta mabadiliko makubwa ya kiuchumi, matamanio ni kuongeza pato la mwananchi mmoja mmoja kwa kuhakikisha wananchi wanatumia miradi hiyo kuwekeza ili kujiongezea kipato.”

Ameongeza kuwa, miradi ambayo ipo kwenye mpango wa utekelezaji ni upanuzi wa barabara ya Mtumba, Treni ya ndani kwa lengo la kupunguza msogamano wa magari sambamba na ujenzi wa Mabwawa sita ambayo yatapokea maji kutoka Mkoa wa Morogoro ili kuepusha adha ya mafuriko.

Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Jabir Shekimweri amesema Mashirika yasiyo ya Kiserikali yamekua na mchango kwa kuisaidia Serikali kutoaji huduma kwa wananchi katika sehemu ambazo haijazifikia hivyo ametoa wito kwa mashirika hayo kufanya kazi kwa mipaka na kuzingatia Sheria na taratibu.

Kadhalika, Kaimu Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Bi. Honorata Rwegasira amesema Mashirika hayo yamesaidia kuleta maendeleo kwa jamii kwa kuboresha hali ya maisha ambapo yametumia takribani shilingi Bilioni 65.9 kutekeleza shughuli mbalimbali kwa kipindi cha miaka mitano.

Mkoa wa Dodoma una Mashirika yasiyo ya Kiserikali yanayotambulika kiusajili 437 ambayo yanatekeleza miradi na shughuli mbalimbali kupitia afua za Elimu, Afya, vikundi vidogo vidogo vya kiuchumi, Mazingira, Haki za binadamiu na usawa wa kijinsia yakiwa na lengo la kuchagiza shughuli za Serikali.



Matangazo

  • Tangazo na Orodha ya Walioitwa kwenye mafunzo ya Wasimamizi, Wasimamizi wasaidizi na Makarani Jimbo la Dodoma Mjini na Mtumba October 23, 2025
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA TAREHE YA USAHILI October 03, 2025
  • TANGAZO LA MAJINA YA WASIMAMIZI JIMBO LA MTUMBA October 03, 2025
  • MAJINA YA WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA- DODOMA MJINI October 03, 2025
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Rc Senyamule awasihi wawekezaji sekta binafsi kuwekeza Dodoma

    October 03, 2025
  • CCTV kamera mwarobaini wa wavunjifu wa sheria jiji la Dodoma

    October 02, 2025
  • Wadau wa afya wapongezwa kwa juhudi zakudhibiti vifo vya wajawazito

    October 01, 2025
  • UONGOZI WA KLABU YA MICHEZO OFISI YA MKUU WA MKOA WA DODOMA WAKUTANA NA RAS KAZUNGU

    September 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.