• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mkurugenzi Mafuru alidhiswa na ujenzi wa shule mpya Mtube

Imewekwa tarehe: October 20th, 2020

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru ameridhishwa na ujenzi wa shule mpya ya msingi Mtube katika jitihada za kuboresha mazingira ya kujifunzia wanafunzi iliyopo jijini hapa.

Mkurugenzi Mafuru alipongeza hatua ya ujenzi iliyofikiwa alipoongoza timu ya Menejimenti ya Halmashauri hiyo jana kukagua na kuona hali halisi ya utekelezaji wake katika Kata ya Nkuhungu jijini Dodoma.

Mafuru alisema “shule hii imejengwa kwa kiwango cha juu. Shule zote zinazojengwa katika Halmashauri ya Jiji zinatakiwa kuwa katika viwango hivi. Hii inaonesha nia njema ya Halmashauri kuboresha mazingira ya kufundishia kwa wa walimu na kujifunzia kwa wanafunzi”.

Akitoa taarifa ya utekelezaji wa ujenzi wa shule hiyo, Mchumi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Shaban Juma alisema kuwa Halmashauri ya Jiji iliamua kujenga shule hiyo kutoka mapato yake ya ndani kwa lengo la kupunguza msonganamo katika shule ya msingi Nkuhungu. “Madarasa 10 yamejengwa katika shule hii, na tutaongeza madarasa mengine manne ili tufikishe jumla ya madarasa 14. Aidha, tutanunua madawati yote kwa ajili ya shule hii” alisema Juma.

Majengo mengine aliyataja kuwa ni jengo moja la utawala na matundu ya vyoo yaliyo katika hatua za ukamilishaji. “Katika shule hii mpya takribani shilingi milioni 370 zimekwishatolewa kwa ajili ya ujenzi huu. Utaratibu wa ujenzi unaotumika ni wa ‘force account’ na shule ikikamilika itakuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi 700” aliongeza Mchumi Juma.

Kwa upande wake, Mweka Hazina wa Jiji la Dodoma, Alfred Mlowe alishauri kuwa utaratibu wa kuandaa hati kwa ajili ya shule hiyo uandaliwe. “Kumekuwa na tabia ya wananchi wa maeneo jirani na shule kuvamia maeneo ya shule na kusababisha shule kushindwa kufanya maendeleo na utanuzi wa miundombinu. Ni vizuri mipaka halisi ya shule hii itakambuliwa na utaratibu wa kupata hati ukaanza mapema ili kuondoa migongano hapo baadae” alisema Mlowe.

Nae James Minja, mkazi wa Kata ya Nkuhungu, jijini hapa alisema kuwa shule ya msingi Mtube itakapoanza mapema Januari itasaidia kuboresha elimu katika kata hiyo na kuwapunguzia adha wanafunzi na kusoma katika mazingira bora.

Shule mpya ya msingi Mtube inatarajiwa kufunguliwa rasmi Januari, 2021.

Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru (kulia) akimsikiliza Shabani Juma (wa nne kutoka kulia) alipokuwa akielezea kuhusu ujenzi wa shule mpya ya Mtube ambayo inajengwa kwa fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri. Wengine pichani ni wajumbe wa Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma walipofanya ziara kutembelea miradi ya Jiji la Dodoma.

Baadhi ya madarasa ambayo yamekwishakamilika katika Shule ya Msingi Mtube ambayo ujenzi wake unatumia fedha za mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.