• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mkurugenzi Mafuru aongoza timu kumaliza mgogoro Kitelela

Imewekwa tarehe: January 11th, 2022

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru amewataka wananchi wote wenye malalamiko na migogoro ya ardhi katika Mtaa wa Kitelela kujitokeza katika shule ya msingi Kitelela kusikilizwa na kutatuliwa migogoro hiyo katika kipindi cha wiki moja.

Mkurugenzi Mafuru alisema hayo alipokuwa akiongea na mamia ya wananchi wenye maeneo katika Mtaa wa Kitelela uliopo Kata ya Nzuguni jijini katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika shule ya msingi Kitelela mwisho wa wiki.

Mkurugenzi Mafuru alisema kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma alifanya mkutano na wananchi na kuagiza halmashauri kwenda kutatua migogoro hiyo. “Nimekuja na wataalam wa Ardhi na Mipango Miji wengi kwa ajili ya kusikiliza na kutatua migogoro ya ardhi hapa Kitelela. Tutasikiliza watu 10 wa kwanza kwa ajili ya kukumbushana zile changamoto za jumla za mradi huu wa Kitelela. Kisha tutasiliza kila mwenye ardhi hapa Kitelela na kutatua lalamiko lake. Zoezi hili kitafanyika kama sensa ya watu inavyofanyika, ni mtu kwa mtu hatutaacha hata mtu mmoja ambaye hajasikilizwa na kutatuliwa mgogoro wake” alisema Mafuru.

Katika kufanikisha zoezi hilo bila kusababisha usumbufu kwa wananchi, aliagiza timu ya wataalam wa Ardhi na Mipang Miji kuweka kambi katika shule ya msingi Kitelela kuanzia tarehe 10-15 Januari, 2022. Alisema kuwa wataalam hao watapokea na kusikiliza kila mgogoro na kuutatua. “Kwa ile migogoro ambayo ni lazima kwenda eneo la kiwanja au shamba tutakwenda eneo hilo na kutatua mgogoro husika” alisema Mafuru.

Mkurugenzi huyo aliwataka wananchi wote wenye ardhi katika Mtaa wa Kitelela kujitokeza katika siku hizo zilizotengwa maalum kwa ajili ya kutatua migogoro hiyo. “Kwa wale wananchi ambao malalamiko yao ni kuondolewa katika maeneo ya asili yaliyokuwepo na kupelekwa maeneo mengine, warudishwe katika maeneo yao yaliyotambuliwa. Wale wananchi wanaolalamikia kuongezewa maeneo na kutakiwa kilipa gharama kubwa warudishiwe maeneo yao ili walipe gharama halisi” alisema Mafuru.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.