• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mkurugenzi Mafuru azindua Maktaba ya kisasa Ihumwa

Imewekwa tarehe: June 4th, 2021

Na Noelina Kimolo.

MKURUGENZI wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru wiki iliyopita amezindua maktaba ya kisasa katika shule ya sekondari Ihumwa mara baada ya kukabidhiwa jengo hilo na taasisi ya Karimjee Jivanjee pamoja na Realising Education for Development ambazo ziliungana na kutengeneza jengo hilo pamoja na kuweka vifaa vya ndani.

Akizungumza katika uzinduzi huo Mkurugenzi huyo alisema anawashukuru na kuwapongeza kwa kuwasaidia katika kukamilisha maktaba hiyo kwani ni kitu muhimu katika kwa wanafunzi pamoja na walimu.

Mkurugenzi Mafuru alisema maktaba inasaidia sana katika kuongeza ujuzi wa mambo mbalimbali kwa kuwa ndani ya maktaba pia kuna vitabu vingine mbalimbali ambavyo vinasaidia katika kuongeza ujuzi zaidi katika maisha.

‘’Maktaba ni kitu cha msingi katika shule inasaidia katika kumuwezesha mwanafunzi kusoma na pia kuweza kutambua vitu vingine tofauti na elimu kama vile bishara kwakuwa katika maktaba pia kuna vitabu vinavyofudisha’’ alisema mafuru.

Mkurugenzi huyo alimpongeza Mkuu wa shule hiyo Mwalimu Greyson Maige kwa ushilikiano mkubwa aliouonesha katika zoezi hilo na kuwasihi walimu wote kuwapa ushilikiano mkuu huyo.

Kwa upande wake Afisa Elimu Sekondari Jiji la Dodoma Upendo Rweyemamu amewashukuru viongozi wa tasisi hizo kwa kuwasaidia katika ukarabati na ununuzi wa vifaa vya maktaba hiyo katika Jiji la Dodoma.

Pia amewasihi walimu wa shule hiyo kusimamia vizuri maktaba hiyo ili iweze kuleta matokeo mazuri ikiwa vita yao daima kuona matokeo mazuri katika shule zote za jiji la Dodoma.

‘’Naomba tuwalipe fadhira kwa kuleta matokeo mazuri vitabu vimeletwa katika wakati ulio sahihi hivyo tuvitumie vitabu hivi katika kubadili matokeo ili maktaba hii ikazae matunda mazuri katika shule yetu’’, alisema Rweyemamu.

Nae mwanafunzi wa shule hiyo Faith Festo amemshukuru mkurugenzi katika uzinduzi wa maktaba hiyo ambayo itawasaidia katika kusoma na kuwafanya wao kufaulu vizuri kwa sababu ndani ya maktaba hiyo kuna vitabu vingi.

‘’Maktaba hii itatusaidia sisi katika kusoma kutokata na vitabu vilivyopo na ninaimani tutafaulu vizuri kutokama na sisi kupata maktaba hii na ninawashukuru wote waliohusika katika kutusaidia kupata maktaba hii’’, alisema Festo.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.