• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ashiriki kufunga mashindano ya Chama cha Netboll Dodoma

Imewekwa tarehe: July 18th, 2023

MKUU wa Mkoa wa Dodoma , Rosemary Senyamule ameshiriki kufunga mashindano ya Chama cha Netboll Dodoma (CHANEDO) yaliofanyika katika viwanja vya Jamhuri Jijini Dodoma mashindano hayo yaliyoanza tarehe 11 Julai 2023.

Akizungumza na wanamichezo nawananchi walioshiriki katika Mashindano hayo Senyamule amesema michezo ni sehemu ya burudani na inajenga afya hivyo kazi kubwa ni kufanya wengine ambao hawajui na kushiriki michezo waone sababu ya kuipata hii burudani na kujenga Afya kwa ujumla.

Aliwataka washiriki wa michezo hiyo kuwaambia na wengine ili nao mwakani waungane na kuweza kuwahamasisha kuwa miongoni wa timu.

“Niwapongeze timu zote ambazo zimeshiriki katika kuhamasika na michezo hii tushawishi na wengine watumie fursa hii ya michezo wa netiboli kuja kushiriki na kukuza vipaji.

“Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwenye maono makubwa kwa nchi yetu na anatamani Tanzania tufanye vizuri Kwenye sekta ya michezo”Alisema Senyamule.

Dodoma tunataka utalii wa michezo kama Mkoa tumeamua kukuza kila sekta moja wapo hii ya michezo nyie mlioanza ni lazima tuendeleze vipaji hivi ili visiishie kushiriki mwaka huu tu na mwakani tuwashawishi timu nyingi zaidi

Kwa upande wake Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha netiboli Dodoma Mwajuma Mussa Mwinjuma amesema Mashindano ya CHANEDO CUP yamekuwa yakifanyika kila mwaka tangu kuanzishwa miaka 7 iliyopita na Timu zilizoshiriki katika mashindano ni Tisa timu za wasichana 7 na timu za wavulana 2 ikiwa ni pamoja na Afya Zanzibar, The Talents Zanzibar, Benjamin Mkapa hospital Dodoma, Mapindunzi Dodoma, Tanroads Dodoma, Tamisemi, Muungano, Jeshi star na Tume ya Maendeleo na Ushirika Tanzania, alisema Mwinjuma

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.