• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma aupongeza mradi wa Soko la wazi Machinga

Imewekwa tarehe: September 15th, 2022

Na. Josephina Kayugwa, DODOMA.

MKUU wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule, aipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa utekelezaji mkubwa uliofanywa wa ujenzi wa miradi ya kimkakati ikiwemo Soko la wazi la Machinga, yenye lengo la kuongeza mapato ya Halmashauri

Pongezi hizo alizitoa alipokuwa katika ziara ya kukagua na kutembelea mradi wa Soko la wazi la Machinga, alisema mradi huu utasaidia sana wafanyabiashara wadogowadogo kurasimishwa na kufanya kazi katika mazingira mazuri kitu ambacho kitaiongezea mapato Halmashauri.

“Niwapongeze sana kweli mna utaratibu mzuri wa ukusanyaji wa mapato kwakweli kazi mliyoifanya ni nzuri, lakini pia tuendelee kuongeza ubunifu zaidi  katika miradi mingine ambayo itatufanya tutambulike zaidi na kutufanya tuwe wa mfano  na watofauti na wengine,” alisema Senyamule.

Aidha Mkuu wa Mkoa aliongeza kuwa katika Soko la wazi la Machinga huduma muhimu ambazo zilikuwa hazijakamilika zifanyiwe utaratibu wa umaliziaji mapema ili wafanyabiashara wakishahamia kusiwe na mgongano.

“ Kuna sehemu za huduma zinatakiwa zikamilike mapema kwasababu muda umeenda kwahiyo Mkandarasi aongeze kasi ya umaliziaji wa soko ili huduma zianze kutolewa mapema, kituo cha magari ya kubeba abiria kikamilike mapema na kianze kufanya kazi na alama za barabarani ziwekwe,” aliongeza Senyamule.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweli  alisema mradi huu ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassani kutaka Halmashauri zijisimamie kimapato  na kuongeza mapato ya ndani.

“Dodoma ndio Makao Makuu tunataka kuwa na sehemu za ufanyaji wa biashara ili Jiji liwe katika mfumo mzuri lakini pia tumeangalia sehemu nyingine za kuongeza mapato,” alisema Shekimweli.

Alimalizia kwa kusema, “lengo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sio tu kuwapanga na kuwatengenezea mazingira mazuri wafanyabiashara wadogowadogo bali nikuweka mandhari ya Jiji kuwa safi.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.