• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma aagiza ujenzi wa Zahanati ya Msembeta ukamilike mapema

Imewekwa tarehe: March 19th, 2024

MKUU wa Wilaya ya Dodoma, Alhaj. Jabir Shekimweri aagiza ujenzi wa Zahanati ya Msembeta kukamilika mapema ili wananchi wa Mtaa wa Msembeta waweze kupata huduma za afya karibu na maeneo yao.

Alisema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Zahanati hiyo mara baada ya zoezi la kukagua na kupanda miti kwaajili ya kutunza mazingira ya eneo hilo kukamilika.

“Zahanati hii ni muhimu kwenu inaenda kuhudumia zaidi ya kaya 486 ambazo zimekuwa zikitembea zaidi ya kilomita 10 kufata huduma za afya Zahanati ya Chigongwe. Hivyo, inatakiwa muongeze kasi mradi ukamilike mapema. Leo tumepanda miti katika eneo hili naomba miti hii itunzwe, ikikua vyema itatupa kivuli na kuwa sehemu ya kupumzikia. Aidha, nawapongeza viongozi na wananchi kwa kuendelea kutekeleza mradi huu licha ya kuwepo kwa changamoto ya maji katika Kata ya Chigongwe. Niwaombe muendelee kuisimamia zahanati hii kwa moyo hadi pale itakapokamilika” alisema Shekimweri.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji Kata ya Chigongwe, Ashirack Rugarabamu aliishukuru Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kuwaletea fedha kwaajili ya ukamilishaji wa zahanati hiyo. “Tunaishukuru Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kutoa fedha kiasi cha shilingi milioni 93,000,000/= kwaajili ya kuendeleza ujenzi wa mradi huu ambao utakuwa ni msaada mkubwa kwa wakazi wa Kata ya Chigongwe. Kukamilika kwa mradi huu kutapunguzia akina mama wajawazito adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za kujifungua, kusogeza huduma ya kliniki ya mama na mtoto pia kusogeza karibu na jamii matibabu ya magonjwa mbalimbali” alisema Rugarabamu.

Halmashauri ya Jiji la Dodoma kupitia mapato yake ya ndani imekuwa ikitekeleza miradi mbalimbali ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma stahiki. Pia imekuwa ikiunga mkono juhudi za wananchi kwa kutoa fedha kwaajili ya ukamilishaji wa miradi mbalimbali iliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi.







Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.