• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mradi huu mkubwa wa Jiji la Dodoma ukamilike – DC Shekimweri

Imewekwa tarehe: August 22nd, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Jabir Shekimweri ameagiza ujenzi wa mradi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma unaojengwa kwenye Mji wa Serikali Mtumba ujulikanao kama Government City Compex ukamilike ifikapo tarehe 31 Agosti, 2021.

Shekimweri ametoa maagizo hayo alipotembelea kukagua mradi wa ujenzi wa hoteli na kumbi za mikutano eneo la mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma unaogharimu takriban Tsh. Bilioni 18 fedha zitokanazo na mapato ya ndani.

Mkuu huyo wa wilaya amesema hoteli hiyo itakapokamilika itasaidia kuingiza mapato ya Tsh. Bilioni 1.3 kwa mwaka sawa milioni 108 kwa kila mwezi hivyo unapochelewa kukamilika unapoteza mapato ya Tsh. Milioni 108 kila mwezi na hadi sasa jumla ya Tsh. Milioni 864 zingekuwa zimeshakusanywa kama si kuchelewa ambapo ulitarajiwa kukamilika mwaka jana.

Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma Prof. Davis Mwamfupe amesema uharaka wa ujenzi huo usiathiri ubora wa umaliziaji wa jengo hilo huku Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Dodoma Meja Mstaafu Johnick Risasi akisema suala la mkataba linatakiwa kuangaliwa upya ili kuondoa mkanganyiko pindi panapotokea ucheleweshaji wa miradi.

Awali akitolea maelezo juu ya mradi huo, msimamizi wa ujenzi katika hoteli hiyo ya kisasa mji wa serikali yenye hadhi ya nyota tano, mhandisi Nasri Nasoro kutoka kampuni ya M/S MOHAMMED BUILDERS CO. LTD inayotekeleza mradi huo amesema eneo la kumbi za mikutano, ujenzi umefikia asilimia 90 na upande wa hoteli ukifikia asilimia 75 ambapo kazi inayoendelea sasa ni pamoja na uwekaji wa marumaru.

Naye Mhandisi wa Jiji ya Dodoma QS Ludigija Ndatwa amesema taratibu zote za malipo zilishakamilika katika mradi huo na kilichobaki ni utekelezaji wa kampuni hiyo.

Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma Prof. Davis Mwamfupe.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Dodoma Meja Mstaafu Johnick Risasi akiongea wakati wa ziara hiyo ya viongozi wa Wilaya ya Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.