• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Mshambuliaji Anwary Jabir aweka rekodi ligi kuu, 'apewa' uchezaji bora

Imewekwa tarehe: February 25th, 2021

KINDA anayekipiga katika Timu ya Dodoma Jiji FC Anuary Jabir ameweka rekodi yake katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu wa 2020/2021 kwa kufunga magoli manne ndani ya mechi tatu mfululizo na kuisaidia timu yake kupanda juu ya msimamo wa Ligi hiyo kutoka nafasi ya kumi hadi nafasi ya saba.

Jabir alifunga goli moja katika mechi dhidi ya JKT Tanzania dakika ya 80 ya mchezo akitokea benchi, huku akifunga goli lingine dhidi ya Coastal Union dakika ya 57 na magoli mawili akiyatia kambani dhidi ya Polisi Tanzania mnamo dakika ya 47 na 75 ya mchezo huo.

Akizungumzia rekodi hiyo Jabir amesema siri kubwa ya mafanikio yake ni kujituma, nidhamu, kufanya mazoezi kwa bidii pamoja na kusikiliza kwa makini kile ambacho wanapewa na Mwalimu.

“Nimekua nikitenga muda wangu mwenyewe kufanya mazoezi baada au kabla ya program za mwalimu hiki kimekua kikipandisha kiwango changu kwa kasi na kunifanya nionekane bora uwanjani” Alisema Jabir.

Kwa upande wake Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji FC Mbwana Makata amempongeza Anuary kwa kiwango anachoendelea kukionesha kila anapopewa nafasi huku akimshauri kuwa asibweteke bali aongeze bidii ili kupandisha kiwango chake jambo ambalo linaweza kumpelekea kwenda kucheza soka la kiushindani nje ya nchi.

Aidha, wachambuzi na wataalamu wa masuala ya soka wamempa Jabir nafasi kubwa ya kuchukua Tuzo ya mchezaji bora wa mwezi februari kutokana na kiwango kikubwa alichokionesha katika mzunguko huu wa pili.

Anuary Jabir ndiye aliyekua mfungaji bora wa Ligi Daraja la kwanza na kuisaidia timu yake kupanda Ligi Kuu ila hakuonesha kiwango kizuri mwanzoni mwa msimu jambo lililopelekea kumaliza mzunguko wa kwanza bila goli, na baadaye aliitwa katika kikosi cha Taifa chini ya miaka 20 ambapo hakupata nafasi kubwa ya kucheza.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.